Hiki ndio alichonijibu mdogo wangu

Hiki ndio alichonijibu mdogo wangu

kuna mengi zaidi ya ngono kwenye mahusiano mkuu na ukioa kwa sababu ya ngono umepotea

Inawezekana kuwa ni kweli kabisa kwa hayo unayoyasema, japo kwa hali ya kawaida nilitegemea angalau kuona hata dogo ameshtuka, lakini ilikuwa ni kama nilichomwambia anakifahamu, hakuonesha taharuki yyte
 
Inawezekana kuwa ni kweli kabisa kwa hayo unayoyasema, japo kwa hali ya kawaida nilitegemea angalau kuona hata dogo ameshtuka, lakini ilikuwa ni kama nilichomwambia anakifahamu, hakuonesha taharuki yyte

mkuu ila wakat mwingine ukute rafiki yako ndo kakudanganya kuhusu huyo binti!!!

coz kunatype za watu ambao mahasiano yanapoisha yeye ni kuchafua tu! maana jiulize na wewe je kweli umeshuhudia huyo binti kweli anafanya hivo?

sasa dogo kapenda kafuatilia kakuta binti yuko poa na anamfikisha anapotaka yeye, wewe ukimletea hizo habar anabaki anakushangaa!
na ndo hayo majibu unaambulia!
 
Hivi mnajuaje kuwa huyu mwanamke anatoa tigopesa mnapokuwa mafichoni au mnatumia nguvu!? huwa sipati jibu.
 
Galadudu, usiogope. Ulichofanya ni kutimiza wajibu wako kwa nduguyo. Ni jambo la kushukuru sana kwa majibu aliyokupa. Ni majibu sahihi kabisa kwa sababu ni mvaaji wa kiatu anayejua wapi kinamfinya na maumivu yakimzidi ataenda kutafuta kingine na kuachana na kinachofinya.

Katika suala la kuoa, mtaka kuoa anaweza kuwashirikishandugu au jamaa zake kwa moja kati ya nia zifuatazo;


  1. Kupata ushauri utakaosababishakuamua kumuoa au kutoamuoa huyu anaye muwazia

  2. Ni taarifa tu lakini maamuzi tayariamefanya.
Pengine wakatianakushirikisha, ulitakiwa kumuuliza anataka wewe ufanye nini katika hiloalilokushirikisha.

Vinginevyo uwe na amani sana na jibualilokupatia na kwa kweli jibu hilo linakufanya wewe kuwa huru sana iwapo kunahitilafu yoyote itatokea mbele ya uhusiano/ndoa yao.
 
Last edited by a moderator:
Acheni hizo.... kama na yeye anataka tigo na anapata. Kwani wanaogawa kwingine inakuwaje? Hawaolewi?
 
nadhani ww ushatimiza wajibu wako na ile guilty feeling imeshakutoka. mengine ni maisha yake. nataraji hatomweleza shemejio ulichomweleza...manake anaweza anzisha bifu la kudumu maishani mwenu
 
kk dgo kasha kushnda hyo ili msgombne japo inauma sana. hnajins fanya yeshe tuu.
ili aman iludi uanglie mmbo mngne tena hpo ya kufnya. ila uschke kumshaur mngne tuu yajayo.
 
Dogo mapenzi wa Nyama ya nundu! Na hiyo age kama tuko cd ya 2 ya series aliyoisaka kwa UDI na uvumba.
 
muhimu umetimiza wajibu......kuliko baadae angekuja kukulaumu......kwamba ulishawahi sikia jambo fulani na ukanyamaza kimya....
 
muhimu umetimiza wajibu......kuliko baadae angekuja kukulaumu......kwamba ulishawahi sikia jambo fulani na ukanyamaza kimya....

Niliamua kuufanyia kazi ushauri wako
 
Back
Top Bottom