Galadudu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 2,304
- 780
Wadau hapa juzi kati nilileta habari iliyokuwa inamuelezea mdogo wangu aliyeamua kujipatia jiko kwa kuchumbia binti mmoja ambae mi namfahamu alikuwa anatoka na rafiki yangu na hadi ikafikia huyo rafiki yangu kuniambia kuwa tayari kashamtumia kinyume na maumbile.
Niliandika hapa nikiomba ushauri namna ya kumweleza mdogo wangu, nilipata ushauri tofauti tofauti nikaufanyia kazi na wengine walikuja PM wakitaka niwape namba ya mdogo wangu sijui walikuwa wanaitaka ya nini.
Sasa baada ya kumwita na kumwelezea ishu nzima akanijibu hivi;
''Nilipofikia uamuzi wa kuwa huyu ndio atakuwa ubavu wangu wa kushoto, nilikuwa nimeshachunguza hayo yote unayoyasema na nikajiridhisha kuwa huyu ndio mwanamke anaenifaa, na ni huyu ndio mwanamke niliyekuwa namuhitaji, kwahiyo hayo mambo uliyoyafahamu niachie mimi'', akawa kamalizia hapo.
Niliandika hapa nikiomba ushauri namna ya kumweleza mdogo wangu, nilipata ushauri tofauti tofauti nikaufanyia kazi na wengine walikuja PM wakitaka niwape namba ya mdogo wangu sijui walikuwa wanaitaka ya nini.
Sasa baada ya kumwita na kumwelezea ishu nzima akanijibu hivi;
''Nilipofikia uamuzi wa kuwa huyu ndio atakuwa ubavu wangu wa kushoto, nilikuwa nimeshachunguza hayo yote unayoyasema na nikajiridhisha kuwa huyu ndio mwanamke anaenifaa, na ni huyu ndio mwanamke niliyekuwa namuhitaji, kwahiyo hayo mambo uliyoyafahamu niachie mimi'', akawa kamalizia hapo.