Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Haya maneno kwa Mara ya kwanza yaliandikwa kwa mkono Wa MTU asiyeonekana yakimuonya mfalme Nebukadreza aliyekua jeuri na kiburi kuliko kawaida hata alidiriki kuwataka watu wamuabudu.
Kama mwandishi alikuwa haonekani, sasa wewe au hao walijuaje kama ameandika mtu kwa kutumia mkono wake? Ukumbuke kuna walemavu wanatumia miguu kuandika.
Hii inawezekana kuwa yameandikwa na mtu asiyejulikana NA SIO hasiyeonekana. Kwa maana aliandika na kuweka sehemu bila watu kumuona. Na kama alitumia mkono basi hakukuwa na watu wenye uwezo wa kuandika wenye ulemavu wa mikono.