Kwanza nitangulie kusema jambo moja
CCM na UKAWA ni wale wale tu; hakuna tofauti yoyote miongoni mwao. Kila mmoja hapa ni mtetezi wa maslahi yake. Ni bahati mzuri kwa UKAWA kwamba Rasimu ya Pili imejibu maslahi yao lakini endapo mapendekezo ya muundo wa muungano yangekuwa ni serikali mbili, wala leo hii tusingewasikia wakipita huku na kule na kusema LAZIMA MAONI YA WANANCHI YAHESHIMIWE!
Turudi kwenye mada. Hatua ya UKAWA kususia BMK moja kwa moja inatoa ushindi kwa CCM angalau kwa sasa, ni ushindi wa 2-0! Ni ushindi kwa CCM kw​avile endapo UKAWA hawatarudi bungeni, moja kati ya haya yafuatayo kitatokea:
Kama hivyo ndivyo, ni nini basi kilicho bora? Serikali ya Tanganyika au Katiba iliyo bora inayojali maslahi ya Watanzania?
Kwa mtu ambae amesoma rasimu atakubali kwamba Rasimu ile ina mambo mazuri sana tena yenye kutia matumaini kuliko suala la muundo wa muungano. Ni uongo uliopopitiliza na usio na maana yoyote kudai kwamba mambo mazuri yaliyomo ndani ya Rasimu hayawezi kutekelezeka kwenye mfumo/muundo mwingine EXCEPT serikali tatu! Yote yaliyomo yanaweza kufanyika ama iwe ndani ya muundo wa serikali moja, mbili, tatu au wowote ule.
Kwa maoni yangu, ikiwa leo hii UKAWA wanaamua kurudi BMK basi hapo hapo itakuwa score board itabadilika na kusoma UKAWA 3, CCM 2. Kabla ya yote, hili likitokea bila kujali kwamba watazomewa wakati wanaingia bungeni au la, kwanza UKAWA watapata RESPECT ya hali ya juu sana kutoka kwa wananchi wa kada mbalimbali kwa ile tu kuonesha nia ya ku-sacrifice matakwa yao kwa ajili ya katiba! Hapa tusisahau kwamba, wanazi wa CCM wanaomba UKAWA wasirudi ili katiba ya sasa iendelee kutumika kwa sababu inawa-favor. Inawa-favor si kwa sababu muundo uliomo kwenye katiba hiyo ni mfumo wa serikali mbili bali inawa-favor kutokana na contents zingine zilizomo kwenye katiba... contents ambazo unfortunately UKAWA wanataka ziendelee kutumika in other way round at the expense of muundo wa serikali tatu; muundo ambao wao kama wapinzani hauna direct benefit yoyote kwao; hususani kwa CHADEMA (angalau hii ya sasa).
Itakuwa ni busara kwa Mbowe na Seif Sharrif kuwarudisha wanachama wao kundini kisha wapiganie kuwamo yale ya msingi kabisa yaliyopendekezwa na tume. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Maadili ya Uongozi na Utumishi wa Umma ambayo, ikiwa Rasimu niliyonayo ndiyo update, basi yamewekwa kwenye sura ya Tatu. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Haki za Binadamu, Wajibu wa Raia na Mamlaka ya Nchi Yaliyomo kwenye Sura ya Nne. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Muundo, Haki na Madaraka ya Bunge la JMT kama ilivyo katika Sura ya Tisa. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Muundo wa Mahakama na suala zima la utoaji haki ambayo yamo Sura ya Kumi.
Mifano ni mingi kwahiyo napata shida sana kuamini kwamba ni sahii ku-sacrifice yote hayo at the expense of serikali tatu! Hapa tusisahau jambo moja la kisaikolojia. Ikiwa UKAWA wanarudi bungeni, basi CCM watalazimika kutokuwa vinganganizi huko mbeleni kwavile tayari UKAWA wameshaonesha nia njema na CCM wakiendelea kuwa vinganganizi kwa wayatakayo wao tu, basi hapo ndio moja kwa moja watadhirisha kwamba hawataki katiba mpya! In contrast, ikiwa leo hii CCM wanaamua ku-sacrifice na mjadala unaotakiwa na UKAWA ( wa serikali 3) kuendelea, basi hapo mbeleni, UKAWA watalazimika ku-sacrifice mambo ya msingi kabisa yatakayokataliwa na CCM. Watafanya hivyo coz wakiendelea kila wakati kungangania kile watakacho wao tu kwa kisingizio chochote, hatimae wao ndo wataonekana wasio na nia njema coz pamoja na CCM ku-sacrifice sera yao (hata kama watakuwa na nia ya kukwamisha hapo baadae) lakini bado UKAWA wanataka kila wakati wasikilizwe wao!!!
Turudi kwenye mada. Hatua ya UKAWA kususia BMK moja kwa moja inatoa ushindi kwa CCM angalau kwa sasa, ni ushindi wa 2-0! Ni ushindi kwa CCM kw​avile endapo UKAWA hawatarudi bungeni, moja kati ya haya yafuatayo kitatokea:
- Rais Kikwete, ikiwa anayo mamlaka hayo, anaweza kuamua kufuta mchakato wa katiba. Ikiwa hili litafanyika, tutaendelea kutumia katiba ya sasa kwa miaka mingine kadhaa. Who knows? May be even ten years or so! Hili litategemea sana na Rais ajaye 2015. Na hapa tukumbuke kwamba, wananchi wengi watamuunga mkono JK endapo ataamua kufuta ama kusimamisha mchakato. Je, hili likitokea ni nani atakuwa ameshinda? CCM au UKAWA?
- Endapo Rais hatafuta mchakato, basi BMK linaweza kuendelea hapo August kama ilivyopangwa ama kwa kiburi tu na jeuri ya CCM au kwa matarajio kwamba labda UKAWA watarudi. Hata hivyo, kwavile Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Act 26(2)] inataka theluthi mbili kutoka bara na visiwani, basi katika mazingira kama hayo, BMK lisilo na UKAWA halitakuwa na ubavu wa kupitisha Rasimu unless CUF wajitoe UKAWA na kurudi BMK. People should never despise the possibility ya CUF kuwasaliti CHADEMA na kuamua wao kama wao kurejea BMK. CUF na CHADEMA hawa si wamoja ni vile tu wanaunganishwa na kile kinachofahamika kama adui wa adui yako, rafiki and in fact, si kwamba adui wa adui yako ni rafiki bali ni mshirika wako wa muda. ANYWAY, kwa mara nyingine tena, ikiwa BMK halitaweza kupitisha Rasimu, tuataendelea kutumia katiba ya sasa hadi pale itakavyokuwa vinginevyo. Hapa napo, CCM 2, UKAWA 0.
- Possibility ya tatu ni kwamba CCM wanaweza kufanya usanii wakaamua kukubali matakwa ya UKAWA ya kujadili Rasimu. CCM wanaweza kuamua jambo hilo ili kuonesha kwamba wao hawana tatizo na bado wanahitaji mchakato uendelee! JK atapongezwa na wananchi kila pahala na kuonekana jinsi alivyo msikivu! Lakini kwa upande mwingine, hili likitokea UKAWA watavimba kichwa na kupita huku na kule wakitamba kifua mbele kwa kujiona wameshinda. BMK litaendelea wakati UKAWA wapo ndani ya nyumba. At the end of story, CCM wanaweza kukwamisha kwa kutopitisha rasimu hapa tena tunarudi kule kule katika kuendelea kutumia katiba ya sasa and eventually turning the score board into, CCM 2, UKAWA 0.
Kama hivyo ndivyo, ni nini basi kilicho bora? Serikali ya Tanganyika au Katiba iliyo bora inayojali maslahi ya Watanzania?
Kwa mtu ambae amesoma rasimu atakubali kwamba Rasimu ile ina mambo mazuri sana tena yenye kutia matumaini kuliko suala la muundo wa muungano. Ni uongo uliopopitiliza na usio na maana yoyote kudai kwamba mambo mazuri yaliyomo ndani ya Rasimu hayawezi kutekelezeka kwenye mfumo/muundo mwingine EXCEPT serikali tatu! Yote yaliyomo yanaweza kufanyika ama iwe ndani ya muundo wa serikali moja, mbili, tatu au wowote ule.
Kwa maoni yangu, ikiwa leo hii UKAWA wanaamua kurudi BMK basi hapo hapo itakuwa score board itabadilika na kusoma UKAWA 3, CCM 2. Kabla ya yote, hili likitokea bila kujali kwamba watazomewa wakati wanaingia bungeni au la, kwanza UKAWA watapata RESPECT ya hali ya juu sana kutoka kwa wananchi wa kada mbalimbali kwa ile tu kuonesha nia ya ku-sacrifice matakwa yao kwa ajili ya katiba! Hapa tusisahau kwamba, wanazi wa CCM wanaomba UKAWA wasirudi ili katiba ya sasa iendelee kutumika kwa sababu inawa-favor. Inawa-favor si kwa sababu muundo uliomo kwenye katiba hiyo ni mfumo wa serikali mbili bali inawa-favor kutokana na contents zingine zilizomo kwenye katiba... contents ambazo unfortunately UKAWA wanataka ziendelee kutumika in other way round at the expense of muundo wa serikali tatu; muundo ambao wao kama wapinzani hauna direct benefit yoyote kwao; hususani kwa CHADEMA (angalau hii ya sasa).
Itakuwa ni busara kwa Mbowe na Seif Sharrif kuwarudisha wanachama wao kundini kisha wapiganie kuwamo yale ya msingi kabisa yaliyopendekezwa na tume. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Maadili ya Uongozi na Utumishi wa Umma ambayo, ikiwa Rasimu niliyonayo ndiyo update, basi yamewekwa kwenye sura ya Tatu. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Haki za Binadamu, Wajibu wa Raia na Mamlaka ya Nchi Yaliyomo kwenye Sura ya Nne. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Muundo, Haki na Madaraka ya Bunge la JMT kama ilivyo katika Sura ya Tisa. Sidhani kama muundo wa muungano ni jambo la msingi zaidi kuliko suala la Muundo wa Mahakama na suala zima la utoaji haki ambayo yamo Sura ya Kumi.
Mifano ni mingi kwahiyo napata shida sana kuamini kwamba ni sahii ku-sacrifice yote hayo at the expense of serikali tatu! Hapa tusisahau jambo moja la kisaikolojia. Ikiwa UKAWA wanarudi bungeni, basi CCM watalazimika kutokuwa vinganganizi huko mbeleni kwavile tayari UKAWA wameshaonesha nia njema na CCM wakiendelea kuwa vinganganizi kwa wayatakayo wao tu, basi hapo ndio moja kwa moja watadhirisha kwamba hawataki katiba mpya! In contrast, ikiwa leo hii CCM wanaamua ku-sacrifice na mjadala unaotakiwa na UKAWA ( wa serikali 3) kuendelea, basi hapo mbeleni, UKAWA watalazimika ku-sacrifice mambo ya msingi kabisa yatakayokataliwa na CCM. Watafanya hivyo coz wakiendelea kila wakati kungangania kile watakacho wao tu kwa kisingizio chochote, hatimae wao ndo wataonekana wasio na nia njema coz pamoja na CCM ku-sacrifice sera yao (hata kama watakuwa na nia ya kukwamisha hapo baadae) lakini bado UKAWA wanataka kila wakati wasikilizwe wao!!!