Hiki ndicho kitakachoiangusha CCM 2020

Hiki ndicho kitakachoiangusha CCM 2020

"Aonywae mara nyingi akishupaza shingo,
Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi;
Bali mwovu atawalapo, watu huugua." MITHALI 29:1-2.

Andiko tofaut na mada iliopo tofaut pumbavu wa maisha wewe
 
Kuna tawala ngumu zenye nguvu ya silaha, pesa, zilidokea pua pale wananchi walipoamua wapo viongoz walioingizwa hadi mipini ya majembe huko behind, ile kamba ya uvulivu ikikatika huwa haisubir uchaguz madiketa wengi hawakupigwa chini kipindi cha uchaguz bali ni baada au kabla ya uchaguz,
 
Ni kweli maandiko yananena kuwa tuheshim mamlaka sasa jiulize hizo tawala zilizodondokea pua kwanini mstar huu haukuwaokoa? Kumbuka mstar huu unazungumzia tawala zilizochaguliwa na Mungu na si tawala zilizowekwa na shetani au NJOMBA NCHUMALI hivyo msiwe mnasoma maandiko kikasuku ili kutetea tawala za kishetani zilizowekwa kwa amri ya mmakonde
 
Tanzania is our MOTHERLAND, ukiitambua maana ya Nahau hii kongwe utagundua kuwa hata wewe Tanzania ni nchi yako. Hakuna anayemuabudu JPM lakini kumheshimu mfalme ni wajibu wa kimaandiko na amri ya Mungu ktk Misahafu ya dini zote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hata Mfalme anatakiwa kuwaheshimu na kuwapenda watu wake.So far hatuna kiongozi tuna MNYAMPARA
 
Hii sio ramli...Magufuli anafikiri akijiimarisha mwenyewe atapita kirahisi la hasha! Aliwekwa na watu na Kwa jeuri yake ataondolewa na watu.
 
Watanzania hawahawa wapiga deki barabara hawawezi kukuelewa?
 
upinzani bwana! hahahaaaaa,inanifanya nisitamani kuona mnashika dola maana hoja zenu ni za kijinga tu kila kukicha ccm,hamlali hamnenepi kisa ccm,mmesahau hata mambo ya mhimu kwenu kisa ccm,siku zote dua la kuku halimpati mwewe,ama kweli magufuli anawapeleka mputempute! hivi kweli kwa mfumo dini mlionao mnapanga kumshauri nani awaelewe? kwenu michepuko ndo dili siasa ubakaji mtayaweza hayo maji kuyaogelea kweli? fanyeni yenu sasa ili msijejuta uzeeni,ccm ishafanya yake na itakumbukwa daima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
makinikia yetu vepe kulipwa lini? mie nipo busy driving school ili noah yangu nipige nayo misele mwenyewe.
 
Mleta mada na wanaomsapoti Mimi naungana na Chungaji Msigwa alisema atakaye muunga mkono Lowasa akapimwe akili.
Vijana wa ufipa naona mnatatuchangaya maana sisi tunajuwa wenzetu ni wazima, ata mnatoa posti tunasoma kumbe mnaumwa.

Ombi langu kwenu ni kuwa yule ni Mchungaja tena chama kinamwamini na Chadema kwaujumla inamwamini nandiyo maana hajatokea mtu wa kupinga ile kauli hadi sasa hivyo naomba mkapimwe akili kwanza pale milembe siyo mbali hili tuendelee na majadiliano hii itatusaidia sisi.
 
Back
Top Bottom