Uwezo wangu darasani ni mzuri nipo chuo nilianza masomo mwaka huu semister ilopita matokeo yalikuwa na A mbili na masomo yaliyobaki nikapata B. Lakini hata hiyo mitihani ya hiyo semister nilifanya kwa mawazo kuna roho inakuja muda wote kwamba niache kitu ambacho sikifurahii na kinaumiza sana moyo msimamo wangu ni kwamba nataka kusoma.
Nikaamua kufunga maombi siku tatu nikimwomba mungu anisaidie kutatua ili tatizo ninaomba mawazo yenu tafadhali nataka tatizo liishe sihitaji liendelee kutawala akili yangu kwani maisha yangu ni magumu nikiacha chuo yatakuwa magumu zaidi
Nikaamua kufunga maombi siku tatu nikimwomba mungu anisaidie kutatua ili tatizo ninaomba mawazo yenu tafadhali nataka tatizo liishe sihitaji liendelee kutawala akili yangu kwani maisha yangu ni magumu nikiacha chuo yatakuwa magumu zaidi