Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,634
- 697,867
Na kakaenda halafu kakarudi mara ya pili kwa nyuma kumalizia kabisamBona kama uchaw vile,yaan hako katyre tu ndo kameleta varangati lote hilo
Hiyo kesi itakuwaje au ndo hakuna kesi
Mkuu haifunguki kwangu,maana sina ac ya fb
Nadhani itakuwa automated camera ya kwenye gari ama CCTVDuh!! hatari na nusu huyoo aliechukua video alijua kuna ajali itatokea?
Ok ila nimeirekodi hapa piaMkuu haifunguki kwangu,maana sina ac ya fb
Nifanyie mafekeche kule basi
Ova
Usije ukadharau hatabtairi ya bajaji ikiwa na upepo ndugu ikichomoka ikakukuta isipokuvuja ni bahati. Tairi kubwa kama hio na kigari kidogo lazima kipate ajalimBona kama uchaw vile,yaan hako katyre tu ndo kameleta varangati lote hilo
Hiyo kesi itakuwaje au ndo hakuna kesi
Duh!! hatari na nusu huyoo aliechukua video alijua kuna ajali itatokea?
Kuna dash cam za magari. Unaipachika hapo mbele kwenye dashboard na inarecord view yote ya mbele.
Ni kwaajili ya security, au pia husaidia ushahidi pindi umesababishiwa ajali barabarani mfano mtu amekuovertake na kukuchomekea kihuni kwa mbele, n.k
Zipo pia za kufunga nyuma ili irecord view ya nyuma while driving.
-Kaveli-
kama Mkataba wa DPWmBona kama uchaw vile,yaan hako katyre tu ndo kameleta varangati lote hilo
Hiyo kesi itakuwaje au ndo hakuna kesi
Firikia unakimbia zako jogging pembezoni mwa barabara,halafu semi linatapika Tairi namna Hiyo,usiombe kukutwa.