Moshi sehemu gani mkuuNjoo Moshi nikupeleke kwenye duka la bidhaa za ngozi ichukue buti ya maana hizo za kichina hovyoooo sana
Hii itakua inatoka karanga magereza pale
Pole ya niniHuwezi pata kiatu brand name kama Fendi kwa bei hiyo na mazingira hayo.Hiyo sio ngozi,kama umechukua pole yako kamanda.
60 kariakoo......Wakuu habari.
Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/=
Je ni bei yake au Napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
View attachment 1822071
Nilimjibu aliyeanzisha uzi,na amenielewa.Pole ya nini
Muhimu kupendeza