chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,417
Ndo bei chukua ambacho hakina kamba.
Kama unaishi dar umepigwa ila kama ni mkoani ndo bei zake hizo, usikatishwe tamaa na watu wanaokwambia umepigwa kiatu sio leather og lakini utavaa kwa muda hata sole yake ni ngumu pia, au unataka watoto waje kurithi? Wachina wamekuja kuturahisishia maisha sisi watu wa kawaida mkuu 😀 lakini kama uwezo unaruhusu chukua original designers' shoes ila mziki wake..... Soma beiWakuu habari.
Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/=
Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
View attachment 1822646
Matajiri wananunua vitu vya bei rahis .maskini wananunua vitu vya bei ghaliWakuu habari.
Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/=
Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
View attachment 1822646
Wakuu habari.
Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/=
Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
Kwa haraka-haraka hiyo soli hapo hamna kitu mbali ya hiyo ngozi.Wakuu habari.
Kuna kiatu hapa jamaa anataka niuzia 95,000/=
Je ni bei yake au napigwa. Napenda sana buti so nimekielewa.
View attachment 1822646
Web ipo hivi halafu tunaambiana uzalendoKwa haraka-haraka hiyo soli hapo hamna kitu mbali ya hiyo ngozi.
In the name and spirit of UZALENDO hebu wacheki hawa upate leather original na kiatu cha kuvaa mpaka ukichoke
https://klicl.co.tz/
Web haifungui bei na majina ya viatu. Au wana physical shop wapi?Kwa haraka-haraka hiyo soli hapo hamna kitu mbali ya hiyo ngozi.
In the name and spirit of UZALENDO hebu wacheki hawa upate leather original na kiatu cha kuvaa mpaka ukichoke👇👇👇👇
https://klicl.co.tz/
Hope hapa utapata msaada 👇👇👇👇👇Web haifungui bei na majina ya viatu. Au wana physical shop wapi?
Hope hapa utapata msaada 👇👇👇👇👇Web haifungui bei na majina ya viatu. Au wana physical shop wapi?