Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

kantri.jpgkantri.jpgkantri.jpg
 
Wewe utakuwa ndiyo Mgonja bwahaaaa haaaa aaaaa.Nakushangaa sana leo haujaunganisha link leo.
Bahati nzuri uko Arusha hivyo uliza Crashwise ni nani utaambiwa kama utataka....maana hii ni mara ya pili kuinihusisha na katibu wa Lema....

Vipi leo hoja yako kwa hili ni nini maana sijakuelewa unangata na kupuliza kinafiki kama kawaida yako...
umesema uchaguzi 2012, unatabiri nani ataibuka bunge maana mwaka jana ulitabiri ukaangukia pua sijui yule mbunge wako (TLP) kama alifikisha hata kura 100 hahahahahahahahahahah....au safari hii mtaunganisha nguvu na magamba ili mmwondoe lema.....kwa hapa Arusha subiri ni siyo kwa sasa tena tutawapiga kokote safari hii
 
Mkuu vipi bado upo ile mitaa ya Shivaz !.

Bahati nzuri uko Arusha hivyo uliza Crashwise ni nani utaambiwa kama utataka....maana hii ni mara ya pili kuinihusisha na katibu wa Lema....

Vipi leo hoja yako kwa hili ni nini maana sijakuelewa unangata na kupuliza kinafiki kama kawaida yako...
umesema uchaguzi 2012, unatabiri nani ataibuka bunge maana mwaka jana ulitabiri ukaangukia pua sijui yule mbunge wako (TLP) kama alifikisha hata kura 100 hahahahahahahahahahah....au safari hii mtaunganisha nguvu na magamba ili mmwondoe lema.....kwa hapa Arusha subiri ni siyo kwa sasa tena tutawapiga kokote safari hii
 
Point yangu Mbunge kasema Mgonja kapata kazi ingine[hajaitaja] kumbe kazi yenyewe ujambazi.
Ngongo uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ingawa huwa unatamba kuwa wewe ni msomi ninapata wasi wasi na usomi wako sasa kwenye barua ya kuijulisha ofisi ya bunge kazi mpya ya Ngoja ilikuwa na umhimu gani...
au mtu anapo taka kuasha kazi lazima akuambie anaenda kufanya kazi gani....
Je Lema anapaswa kujua maisha binafsi ya Ngoja...Tumhukumu Lema kwa makosa yake kama mbunge wa Arusha na siyo makosa ya Ngoja...
 
Alieandika barua si mimi ni Lema muulize kulikuwa na haja gani kusema kapata kazi nyingine.Hakuna mtu aliyemhukumu Lema kwa makosa ya Mgonja ila ule msemo maarufu wa kiswahili "Ndege wa rangi moja uruka pamoja umeaanza kudhihirika".
Ngongo uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana ingawa huwa unatamba kuwa wewe ni msomi ninapata wasi wasi na usomi wako sasa kwenye barua ya kuijulisha ofisi ya bunge kazi mpya ya Ngoja ilikuwa na umhimu gani...
au mtu anapo taka kuasha kazi lazima akuambie anaenda kufanya kazi gani....
Je Lema anapaswa kujua maisha binafsi ya Ngoja...Tumhukumu Lema kwa makosa yake kama mbunge wa Arusha na siyo makosa ya Ngoja...
 
Mkuu unakata mitaa yako au umesahau wale dada poa walivyompasha wife wako.
hahahahah naona umeamua kufurahisha jukwaa hii ina weza kutokea kama huna kingine cha maana cha kuchangia...kupata mkasa haiimanishi lazima uwe unashi hapo unaweza ukaenda Mbeya ukapatwa na mkasa ina maana ukiuelezea utakuwa unaishi Mbeya.......
 
Alieandika barua si mimi ni Lema muulize kulikuwa na haja gani kusema kapata kazi nyingine.Hakuna mtu aliyemhukumu Lema kwa makosa ya Mgonja ila ule msemo maarufu wa kiswahili "Ndege wa rangi moja uruka pamoja umeaanza kudhihirika".
kwa kuwaa unamjua Lema tangu akiwa mdogo hebu waambie wana jamvi mahusianao ya Lema na Ngoja yalianza lini, na alikuwa katibu wake kwa muda gani na wameshiriki matukio yapi nani kwanini hawakuwahi kukamatwa mpaka sasa baada ya kuichachafya CCM...
 
MHESHIMIWA LEMA KAWALIPE CCM HUNDI YAO KWA MATANGAZO HAYA
MAZURI NA KUKUPANDISHA CHATI KI-TAIFA KILA KUKICHA

Mheshimiwa Lema, tafadhali kawalipe CCM, serikali yake na vyombo vyake vyote vya ulinzi na habari nchini kwa kazi yao nzuri sana ya KUKUPANDISHIA CHATI kila kukicha; leo mara hili na keso mara lile hadi raha jamani!!!!!!!!!

Mpaka hivi sasa hadi mtoto mdogo kijijini anafahamu majina Dr Slaa, Lema na CHADEMA. Kwa kuwa wao wamezaliwa majuzi tu kwao wao CCM haijulika hata tone - kazi nzuri sana hii!!! Mheshimiwa Regia naona unavyorahisishiwa kazi na vyombo hivi vya KISHABIKI kisiasa nchini.

Kwa mtaji huu hivi sasa ni wazi kwamba serikali ya Kikwete inamuogopa zaidi Mhe Lema na hasa kule kupewa kwake
U-KAMANDA wa Machalii woooote Tanzania.

Hakika hivi sasa ni rahisi mno hata kutabiri kwamba kwa mwezi Desemba huko Mhe Lema atatangazwa vipi na mara ngapi na hii kambi ya Magamba.

Kwa kweli nawapa Big Up sana Wana-Magamba kwa kumweka Mhe Lema katika king'amuzi cha SIASA ZA KI-TAIFA kwa gharama nafuu kiasi hiki.

Sisi vijana wapiga kura wa kesho siku zote huvutiwa na habari za AJABU AJABU kama hayo anayobambikiwa Mhe Lema; hivyo kumfanya yeye na CHADEMA kuwakaa uzuri zaidi akilini mwao mpaka siku ya kupiga kura. Najua itawawiia vigumu sana wengine kuelewa hii dhana lakini ndio hivo tena

Naomba nirudie, Mhe Lema pamoja na PEOPLE'S POWER CHADEMA hebu kawaandikieni CCM hundi ya malipo kwa kuwapandisheni chati kila kukicha.


hizo ni njamaa tuu!!!
hakuna ukweli wowote!!!
 
Hata kama ingekuwa kweli, Lema anahusikaje na maisha binafsi ya katibu wake? Baada ya muda wa kazi Lema na katibu wake kila mtu anajijua.katibu wa Lema anakula nini, anafanya nini, anakaa wapi si kazi ya Lema.
Bahati mbaya tumeshaambiwa tena kuwa Mgonja siyo katibu wa Lema. Halafu gazeti la serikali ambayo inatumia jasho langu kwa njia ya kodi ndo inaleta udaku huu hadharani.
Kwanza ni hatari, pili ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Watu waliokunywa maji ya bendera ya CDM, hamuoni hata mapungufu ya wazi.
Jamii inajudge mtu kwa company ya watu walio karibu naye.
Huyo jambazi Mgonja amefanya kazi kubwa kumuinua mwenziwe Lema kwenye kiti cha ubunge,
 
swali la kujiuliza Lema alikutana wapi na huyu Msaidizi wake? ana mda gani anamfahamu? ni aibu na fedheha kwa mh lema kwa jambo hili!
 
<br />
<br />
Jamani katibu wa Mbunge ni Gabriel Mbuki, mimi mwenyewe nimewasiliana naye, yupo ofisini kwa Mbunge. Kuhusu huyo Lucia ilikuwa ni mazingira ya mwanzoni wakati wa mchakato wa kumtafuta katibu wa kudumu. Vile vile labda suala la jinsia ndiyo iliyosababisha Lucia kutokuwepo hapo.

Kuna utusitusi hapo!!! Kwa hiyo alipobadilishwa Lucia iliandikwa barua tena ya kumtambulisha Mbuki? Wabunge wana vituka isije ikawa huyu Lucia ni mke wa Lema!!!
 
Watanzania tuna kazi kweli! Kila kitu kinatiwa siasa, mpaka kazi ya mwandishi! Ndo maana inakuwa ngumu kuchukulia habari ya gazeti fulani at face value mpaka tuchunguze chunguze kujua ni kweli au la! Sasa katika hali hii tutafika kweli? Tungetegemea gazeti la Gov likawa neutral lakini da!
 
Watu waliokunywa maji ya bendera ya CDM, hamuoni hata mapungufu ya wazi.
Jamii inajudge mtu kwa company ya watu walio karibu naye.
Huyo jambazi Mgonja amefanya kazi kubwa kumuinua mwenziwe Lema kwenye kiti cha ubunge,

Mkuu mimi nakuunga mkono. Inawezekana Mgonja si Katibu wa Lema ila kama amewahi kuwa Katibu wake na leo anahusishwa na ujambazi na huku Lema naye ameishatajwa (tetesi za Zombe) kuwa ni jambazi basi inakuwa ni suala la kuunganisha tu. Ni hakika kabisa kwamba Mbunge anamteua mtu ambaye anamfahamu ili awe katibu wake na ndio maana Ofisi ya Bunge haihusiki japokuwa ndio inayolipa. Kwa maana hiyoo kwa kitendo cha Mgonja kuwa Katibu wa Lema hata kwa siku moja ina maanisha kuwa Lema na Mgonja wanafahamiana vizuri sana. Sasa inakkuja kuwa Mgonja anatuhumiwa kwa ujambazi na ni Rafiki wa Lema na kuna kichaa mmoja ameishasema kwamba Lema ni jambazi!! Patamu hapo
 
Watu waliokunywa maji ya bendera ya CDM, hamuoni hata mapungufu ya wazi.
Jamii inajudge mtu kwa company ya watu walio karibu naye.
Huyo jambazi Mgonja amefanya kazi kubwa kumuinua mwenziwe Lema kwenye kiti cha ubunge,
Kama mke/Mme anaweza kuwa jambazi na usigundue itakuwa lema na Ngoja.....Hivi nani mmiliki wa Richmond/Dowans
 
Nawashangaa mnaoshangaa Lema ni jambazi lazima katibu wake ni jambazi majambazi yamepeana shavu.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hacheni kubwabwaja njie kama Mh LEMA ANGEKUA JAMBAZI LASIMA POLIS WANGE MKAMATA TU sasa hivi wanampango wa kumkamata lakini wanakosashitaka upo hapo. mgamba we
 
Kama mke/Mme anaweza kuwa jambazi na usigundue itakuwa lema na Ngoja.....Hivi nani mmiliki wa Richmond/Dowans
Turudi kwa Mh.Lema bwana mukubwa, usihamishe goal posts, rudi kwenye mada.
Suala hili linakula kwa reputation ya Mh.G Lema hata kama haitathibitika kuwa anahusika na ujambazi moja kwa moja.
 
MHESHIMIWA LEMA KAWALIPE CCM HUNDI YAO KWA MATANGAZO HAYA
MAZURI NA KUKUPANDISHA CHATI KI-TAIFA KILA KUKICHA
Duh kweli humu kuna vichaa!!
Mnataka tuamini kuwa waheshimiwa wenye marafiki majambazi nao wanapandishwa chati?
Whats happening to our morals!
 
Back
Top Bottom