Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Kuna utusitusi hapo!!! Kwa hiyo alipobadilishwa Lucia iliandikwa barua tena ya kumtambulisha Mbuki? Wabunge wana vituka isije ikawa huyu Lucia ni mke wa Lema!!!
<br />
<br />
Sahihisho: ni kweli Lucia ni Katibu wa Mbunge, na Gabriel Mbuki ni mratibu wa shughuli katika ofisi ya Mbunge. Huyu dada hajulikani sana, labda kwakuwa mara nyingi hayupo ofisini. Kila tukienda tunamkuta Mbuki pale.
 
Tulipo kwa hakika tupo hatarini, nimesikia eti kuna wajinga wanasema eti BAKWATA na TEC inatumiwa na wauza unga sababu eti wakati watu wanapoenda kuhiji wengine hubeba madawa ya kulevya. hivi watu wanaoenda kuhiji huwa hawakaguliwi? na kama wanakaguliwa je wangapi wamekamatwa? na kama wamekamatwa au hawajakamatwa kwanini muhusishe mambo ya watu binafsi na taasisi takatifu? kwamba nazo zinahusika? Hoja yangu ni kwambza kama wanaweza kuzizingizia taasisi takatifu kama hizi bila kutoa sababu zenye matinki watashindwaje kwa Vyama vya upinzani na wapinzani? Cha msingi tujue tulipo tumefika na hapa CCM haina uwezo tena
 
Kwa nchi ulitegemea nini baada ya Lema kutoa lie hotuba bungeni? kwa nchi ulitegemea nini baada ya Lema kuukandia uongozi wa Jeshi La polisi ?ulitajia nini kitafuata baada ya Lema kuonesha Dhuluma ya Jeshi la Polisi? bila shaka hii c habari kwani tumezoea ila naishauri Serikali ingechukua muda kidogo ili kila mtu asijue kuwa wanalipiza baada ya kubomolewa bungeni. WAMEANZA KUTUMIA USHAURI WA ZOMBE; ILA WAJUE MOJA KWASASA HATUDANGANYIKI HATA KAMA ATAFUNGWA NA MAHAKAMA as every sector in this country is corrupt
 
Hizo ni propaganda za vyombo vya habari vya CCM uhuru na Habari leo, huyo aliyekamatwa aliwahi kufanya kazi kama katibu baadaye aliacha kazi na katibu wa Lema wa leo anaitwa Lucy Fransisco na ni mwanamke.
 
Hii nchi ingekuwa na mtindo wa kufuatilia wasaidizi wa viongozi magereza yatu yasingetosha! Na kwa kuanzia tu wangemkamta yule aliyepewa tenda ya kujaza mafuta gari ya rais - mafuta ya kuchakachuliwa. Scandal! scandal!
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?

Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.

Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.
 
Source yenyewe haina nguvu yoyote yakutoa ushawishi wakuaminika. Wamechemka. CHADEMA for life.
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?<br />
<br />
Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.<br />
<br />
Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.
<br />
<br />
Lema hana cha kujibu hapo, na hana muda wa kujibu pumba zako. Cha msingi Mgonja aliwahi kufanya kazi na Mbunge Lema, baadaye akaacha/kuachishwa. What happened was personal. Tukitaka kujua mahusiano ya namna hiyo, tutataka kwanza tujue uhusiano wa Kikwete na aliyekuwa kamanda wa zamani wa vijana wa ccm manyara ndg Justine Nyari, jambazi aliyefungwa jela miaka 30, chakushangaza akatoka kwa msamaha wa Rais. Vile vile tunaweza kuhoji uhusiano wa Makada wengi wa ccm akiwepo Malecela na majambazi. Kuna taarifa tuliwahi kuzisikia kwamba wale majambazi waliomteka na kumfanyia mchezo mbaya Mke wa Malecela nao walifanyiwa kitu mbaya hadi kifo na makamanda wa Malecela. This is too personal tatizo watu mnapenda kukuza mtadhani mna jaribu ku undermine umaarufu wa Lema, matokeo yake ndio mnampandisha chati. Endeleeni hivyo hivyo, nawaambia ccm kuchukua jimbo la Arusha ni ndoto.
 
Ningependa sana kuona habari leo gazeti la serikali,Uhuru gazeti la CCm na Jambo Leo gazeti la Ridhiwani wanatufanyia uchunguzi wa wizi wa MH.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete kwa wizi wa pesa za Kagoda zilizomuweka madarakani mwaka 2005 ,wakija tena na taarifa rasmi ya alikozipata bilioni 50 za uchaguzi wa 2010 na mimi nitajua kweli wanajua kuandika habari za uchunguzi zaidi ya hapo jinsi magazeti yao yanavyodharauriwa watafanya wana arusha wa sympathise na Lema,psychology ya umma si ya kuichukulia kirahisi kama Polisi na magazeti wanavyodhani wanaweza kuendesha siasa za kuchafuana kama wanavyomfanya Jerry Muro kwa Lema dynamics ziko tofauti kabisa ,wananchi tunanaangalia na kusikiliza hila za CCM,serikali Ya KIKwete na Jeshi la POlisi watu wengi wanawajua
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?

Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.

Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.

Tunakushangaa wewe mtu gani unataka Lema ajibu, ajibu nini? anajua nini? Hii mipango yenu itakula kwenu tu. Kumbukeni hata Mandela alikwenda kifungoni na akatumikia kifungo lakini damu ya watu wa Afrika Kusini ilikuwa inamlilia. Lema usiangaike nao tulishajua ccm wanakuwinda kama ndege na usiogope kuwaelimisha wananchi pale ukweli unapowekwa mfukoni au mafaili kuchomwa moto. Tunafurahi umekuwa muwazi kupita kiasi kwa hiyo watanzania wanaona kazi zako unavyofanya bila upendeleo. Endelea kutetea wananchi na wananchi wapo nyuma yako.
 
Kuna watu wa anina mbili, wajinga wasio jua ukweli , na wapumbavu wasioamini hata wakiambiwa ukweli.<br />
Chaguo la kundi la kuingia ni la mtu mwenyewe.
<br />
<br />
Kwa hiyo kwa mtazamo wako duniani kumejaa wajinga na wapumbavu tu? Ni mtizamo finyu sana!
 
Jambazi mwenzake Jambazi, wamefanya sana ujambazi pamoja wamepora magari sana tu ilo mbona lipo wazi.
Watu wanafahamu siku nyingi kuwa hawa jamaa ni wizi wa magari kabla hata Zombe kusema
 
Jambazi mwenzake Jambazi, wamefanya sana ujambazi pamoja wamepora magari sana tu ilo mbona lipo wazi.
Watu wanafahamu siku nyingi kuwa hawa jamaa ni wizi wa magari kabla hata Zombe kusema

Rz1 Unakurupuka sana kuchangia hii thridi kwa mbwembwe utafikiri unaushahidi,aya lema ameshamkana huyo jamaa na kusema kuwa siye katibu wake na serikali ya magamba inajua OCD anajua na hata RPC analifahamu hili swala kuwa huyo jamaa aliye kamatwa sio katibu wa lema.
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?

Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.

Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.

Hapo kwenye RED SOMA NA HAPA CHINI


[h=2]2. ANDREW J. CHENGE[/h]
chenge.gif


Mheshimiwa Andrew Chenge ni Mbunge wa Bariadi Magharibi na Waziri wa Miundombinu katika Serikali ya sasa ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete. Kabla ya hapo, Mheshimiwa Chenge alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa miaka yote kumi ya utawala wa Rais Benjamin W. Mkapa. Kwa wadhifa huo, Mheshimiwa Chenge ndiye alikuwa "mshauri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano juu ya mambo ya sheria na &#8230; aliwajibika kutoa ushauri kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano kuhusu mambo yote ya kisheria, na kutekeleza shughuli nyinginezo zozote zenye asili ya au kuhusiana na sheria&#8230;."[6] Katika kipindi hicho cha miaka kumi na mbili, Mheshimiwa Chenge amehujumu taifa la Tanzania kama ifuatavyo:
  • Kama Mkurugenzi katika kampuni ya kigeni ya Tangold Limited alishiriki na/au kufaidika na malipo haramu ya dola za Marekani 13,736,628.73 ambazo zimeelezewa kwa kirefu katika sehemu inayomhusu Gavana Balali;
  • Kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Chenge ameshiriki kuishauri vibaya na/au kutokuishauri vizuri Benki Kuu ya Tanzania na kusababisha ufujaji wa mabilioni ya fedha za umma ambayo yameelezewa katika sehemu inayomhusu Gavana Balali;
  • Kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mheshimiwa Chenge ameshiriki moja kwa moja katika kutoa ushauri kwa Serikali na/au Wizara ya Nishati na Madini kuingia mikataba mibovu na makampuni mbali mbali ya madini ya kimataifa ambayo kwayo taifa limepoteza mabilioni ya fedha za kigeni. Kwa mfano, katika hotuba yake Bungeni tarehe 6 Novemba 2006, aliyekuwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa Bernard Membe alitoa taarifa kwamba katika kipindi cha miaka mitatu hadi kufikia 2006, makampuni ya uchimbaji dhahabu yaliyoko Tanzania yaliuza dhahabu yenye thamani ya shilingi bilioni 2,340 wakati ambapo makampuni hayo yalilipa mrahaba na kodi nyinginezo kwa Serikali za shilingi bilioni 72. Katika kikao cha Bunge la Bajeti la mwaka huu, Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mheshimiwa William Ngeleja aliliambia Bunge kwamba katika kipindi cha kuanzia mwaka 1998 Mgodi wa kwanza wa dhahabu wa Lusu Nzega ulipofunguliwa hadi mwaka huu, makampuni ya uchimbaji dhahabu yaliuza nje dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 2.614 wakati Serikali ikiambulia mrahaba wa dola milioni 78 tu! Endapo Mwanasheria Mkuu wa Serikali Chenge angeishauri vema Serikali ya Jamhuri ya Muungano kama alivyotakiwa na Katiba ya nchi yetu, taifa lisingekuwa linapoteza utajiri wake wa madini kwa kiasi kikubwa namna hii.
 
<br />
<br />
Lema hana cha kujibu hapo, na hana muda wa kujibu pumba zako. Cha msingi Mgonja aliwahi kufanya kazi na Mbunge Lema, baadaye akaacha/kuachishwa. What happened was personal. Tukitaka kujua mahusiano ya namna hiyo, tutataka kwanza tujue uhusiano wa Kikwete na aliyekuwa kamanda wa zamani wa vijana wa ccm manyara ndg Justine Nyari, jambazi aliyefungwa jela miaka 30, chakushangaza akatoka kwa msamaha wa Rais. Vile vile tunaweza kuhoji uhusiano wa Makada wengi wa ccm akiwepo Malecela na majambazi. Kuna taarifa tuliwahi kuzisikia kwamba wale majambazi waliomteka na kumfanyia mchezo mbaya Mke wa Malecela nao walifanyiwa kitu mbaya hadi kifo na makamanda wa Malecela. This is too personal tatizo watu mnapenda kukuza mtadhani mna jaribu ku undermine umaarufu wa Lema, matokeo yake ndio mnampandisha chati. Endeleeni hivyo hivyo, nawaambia ccm kuchukua jimbo la Arusha ni ndoto.

Mkuu naomba tuweke records sawa kwa mujibu wa kumbukumbu zangu: Nakumbuka Nyari alifunguliwa mashitaka ya ujambazi wakati wa utawala wa Mkapa na akapatikana na hatia na kufungwa miaka 30 na mahakama moja (Nadhani ya hakimu mkazi). Baadaye Nyari alikataa rufaa mahakama kuu na akashinda rufaa hiyo na kuonekana hakuwa na hatia. Hukumu ya mahaka kuu ilitolewa wakati JK akiwa ameingia madarakani. Kwa kumbukumbu zangu na kama nilivyoeleza hapo juu si kweli kwamba Nyari alitoka kwa msamaha wa Rais bali alishinda rufaa katika kesi yake. Kama kulikuwa na uingiliaji wa uhuru wa mahakama sijui. Nimeyasema hayo ili kuweka kumbukumbu sawa kwa kuwa mimi hupenda kufuatilia mambo na nionapo mtu anaenda chaka huku nikiwa naujua ukweli sisiti kuusema huo ukweli.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Lema hana cha kujibu hapo, na hana muda wa kujibu pumba zako. Cha msingi Mgonja aliwahi kufanya kazi na Mbunge Lema, baadaye akaacha/kuachishwa. What happened was personal. Tukitaka kujua mahusiano ya namna hiyo, tutataka kwanza tujue uhusiano wa Kikwete na aliyekuwa kamanda wa zamani wa vijana wa ccm manyara ndg Justine Nyari, jambazi aliyefungwa jela miaka 30, chakushangaza akatoka kwa msamaha wa Rais. Vile vile tunaweza kuhoji uhusiano wa Makada wengi wa ccm akiwepo Malecela na majambazi. Kuna taarifa tuliwahi kuzisikia kwamba wale majambazi waliomteka na kumfanyia mchezo mbaya Mke wa Malecela nao walifanyiwa kitu mbaya hadi kifo na makamanda wa Malecela. This is too personal tatizo watu mnapenda kukuza mtadhani mna jaribu ku undermine umaarufu wa Lema, matokeo yake ndio mnampandisha chati. Endeleeni hivyo hivyo, nawaambia ccm kuchukua jimbo la Arusha ni ndoto.
<br />
<br />
we hujui unachoongea kwanza nyari hakutoka kwa msamaha wa rais aliachiwa na mahakama ya rufaa,tanzania court of appeal ndio mahakama ya mwisho kwenye mashauri.kuhusu ya malechela kuwa adhibu waliomfanyia kitu mbaya mkewe sijawahi kuisikia ila usikute ni mambo ya unproven theories.
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?

Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.

Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.


RED SOMA HAPO CHINI

PATRICK W.R. RUTABANZIBWA
Kwa miaka mingi Patrick Rutabanzibwa alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini wakati mikataba mibovu ya madini inasainiwa na kashfa kubwa ya IPTL inatokea. Kwa sasa Bwana Rutabanzibwa ni Katibu Mkuu Wizara ya Maji na vile vile Mkurugenzi wa kampuni ya kigeni ya Tangold Limited. Ufisadi unaomhusu umeelezewa kwa kina katika maelezo yanayomhusu Gavana Balali na Andrew Chenge. Hapa pia kuna mgongano mkubwa kati maslahi yake binafsi kama Mkurugenzi wa kampuni binafsi iliyopokea mabilioni ya fedha za umma na maslahi ya umma aliyotakiwa kuyalinda akiwa kama kiongozi wa umma
 
Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?.

uKIJUBU NA HILI JIBU NA HILI HAPA CHINI


NIMROD ELIREHEMA MKONO
mkono.gif

Mheshimiwa Nimrod E. Mkono ni Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijiji na Mshiriki Mkuu wa kampuni ya mawakili ya Mkono & Company Advocates ya Dar es Salaam. Barua ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali inaainisha kuwa Benki Kuu imekuwa ikilipa malipo makubwa kwa Mkono & Co. Advocates hasa yale yanayohusu kesi ya Valambhia ambapo Benki Kuu inadaiwa jumla ya shilingi bilioni 60. Kwa mujibu wa barua ya wakaguzi tayari Mkono & Co. Advocates wamekwishalipwa shilingi 8,128,375,237 kwa fedha taslimu kwa kesi hiyo ambayo bado iko mahakamani. Malipo haya ni sawa na asilimia 13.5 ya deni lote inalodaiwa Benki Kuu. Hoja ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu ni kuwa kesi hii haina muda maalumu wa kumalizika na hivyo inawezekana kabisa malipo ya wanasheria yakazidi kiasi cha fedha inachodaiwa Benki Kuu.
 
Mtanganyika.

Umekosea sana JF kazi yake kubwa ni kusifia madubwa ya CDM bila kujali udhaifu na uchafu waliotendea jamii.Lema ni jambazi hata watetezi wake na wanazi wa CDM wanajua sema wanaona aibu kukiri.

Ndugu zangu wana JF kwa mara nyingine naomba nikosoe hili. Ukweli ni kwamba kama ni kweli kwamba Katibu wa Lema ameusika na ujambazi, basi ni wazi Lema anatakiwa ajibu maswali kwa wana Arusha na Watanzania kwa ujumla. Kwamba jee yeye alikuwa anajua kama Katibu wake ni Jambazi? Jee urafiki wao/ufahamiano ulianza tangu lini?

Na ni haki ya Wanaarusha na Watanzania kwa ujumla kufanya uamuzi wa mwisho kwamba nini hitima ya Lema. Kama Lema atafanunua kwamba uhusiano wao ulikuwa kikazi zaidi na hakuna jingine lolote, then itakuwa haki ya Watanzania kufanya maamuzi katika court of public opinion.

Siasa sio lele mama, Obama alibanwa na mama Clinton kuhusu pasta wake na ilibidi amkane mchana kweupe. Hiyo ndio siasa, hivyo acheni kusema ooohh CCM wanatumia maji taka strategy, no CCM are doing what they're suppose to do which is to paint CDM as extremist political party. It's up to CDM to paint a different color. I rest my case.
 
Back
Top Bottom