Lyimo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,826
- 2,017
Napingana na wewe kwa kusema kuwa kuna watu wa aina mbili, yani ama ni Mjinga au Mpumbavu. Najua kutokujua ukweli ni ujinga (si udhaifu), na upumbavu ni udhaifu mbaya sana. Je wale tunaoujua ukweli tayari, kwenye makundi yako utatuweka wapi?
Kuna watu wa anina mbili, wajinga wasio jua ukweli , na wapumbavu wasioamini hata wakiambiwa ukweli.
Chaguo la kundi la kuingia ni la mtu mwenyewe.