Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Hii Ya Katibu wa Mbunge Lema Imekaaje?

Bwana mukubwa, hapa hakuna suala la imani.
We go with the facts.
FACT: Tuhuma za Godbless Lema kuwa na uhusiano na majambazi zimekuwepo muda mrefu(hata kama hupendi, most recent by Zombe)
FACT: Mshirika wa karibu wa Godbless Lema ametiwa mbaroni kwa ujambazi.
It takes only little intelligence to connect the dots, na hapo HAKUNA IMANI, ni bongo lako tu.

Nakuelewa lakini pia kuna wasiwasi mkubwa kwa aliyetoa taarifa za ujambazi wa Lema,
si kwamba napingana na taarifa hizo kwa kuwa binafsi simfahamu Lema zaidi ya kusoma
habari zake ila tunahitaji fact kuliko kuongozwa na ushabiki. Pia imesemwa kuwa huyu
unayemuita mshirika wa Lema walishatemana kitambo kwa sababu ya tabia zake,
sasa inakuwaje kumhusisha na Lema hadi sasa wakati hawapo pamoja? Fanya utafiti
kwanza ndo urushe mawe...
 
Mantiki inakataa kabisa.
Hivi katibu wa Mbunge (
let say it is true ni katibu wake, am not sure, sijasoma habari) ana uhusiano gani na Mbunge ktk mambo binafsi? Je, Katibu wa Mbunge aktoka ofisini ni jukumu Mbunge kujua kama anafanya nini? Wapi? na Nani?. Jina la Lema hapo linaingiaje?. Hivi kesho akimpiga mke wake, akiiba tunamhusisha mwajiri wake Lema tena?

Pili, Ninasikitika kwamba habari hizo zimeandikwa ktk gazeti ambalo si la udaku. Je, Mjomba, shangazi, marafiki zake, majirani, nk mmoja wao akiiba, kichwa cha habari lazima kianze na jina Lema?

Tatu, kwanini habari hizi zianze kwa kasi tangu yeye aliposoma maoni ya upinzani yaliyoichafua sana Serikali ya CCM hasa jeshi la polisi kwa kuua raia bila sababu huku wakishindwa kukanusha hoja ya Lema? Kwanini leo?

Kila ninapowaza mantiki inakataa kabisa. Iko siasa ya hatari ya ccm nyuma jambo hili ambayo inaweza kuvuruga amani yetu. Sitashangaa kesho wakisema Dr Slaa, Mbowe, Mnyika Wenje nk ana hili na lile.


Mkuu inapondikwa kwa mfano Afisa wa JWTZ akamtwa katika ujambazi inakuwa haina mantiki? Kwani huyo afsa huwa hana maisha yake binafsi? Nadhani Lema anaingia hapa kwa kuwa huyo aliyehusika ni Katibu Wake na kusingekuwa na jinsi kumtaja huyo Mgonja bila kumtata Mwajiri wake (Najua Mbunge humtafuta Katibu na Bunge hulipa kama sikosei).
 
Unachohitaji ni high dose ya CPZ,Chlopromazine maana schizophrenia inakutesa mda mrefu WARD 13 itakufaa pale MIREMBE.

Hii elimu ya sekondari kwa miaka miwili inatuletea matatizo

siku ujuha ukikuacha utaacha huu upupu tetesi ndiyo zimekuleta kwenye conclusion hii kwa facts mfu zinazoendeshwa na mshawasha wa hisia.

Ndugu yangu nafikiri una kale kaugonjwa ka magamba Masaburi-kufikiri kwa makalio, sina zaidi
 
Wana JF,

Sasa naanza amini ile msemo wa Siasa chafu Jimbo hilo la arusha sasa ndizo zatawala huko na kutafutana ubaya hili gazeti la Habari Leo nimelisikia radioni na ukichunguza tu ni kuwa kunajengewa hoja kitu fulani Huyu mwandishi wa habari kwanini hakusema aliyekuwa katibu wa Mbg Lema(Arusha) Huku Lema ana katibu mwingine tunavyo ambiwa hivyo, mwandishi wa habari ungependa kujijibu hayo maswali nadhani sasa nawe unajiwekea uhasama bure tuuu kwa hili jaribu kuwa upande wako kama mwana siasa usijifunze kuchonga deal au unafiki na watu utajiharibia kazi yako bure sio kwa gazeti bali hata kwa jamiii inayo kuzunguka ikijua wewe utaleta habari nzuri kwao kama kioo cha jamii kumbe wewe ni mpotoshaji je unadhania watu watahitaji soma makala zako tena?

My Take:
Swala kubwa hapo arusha ni Mayor!!!!!
Serikali yarusha mpira kwa NEC,
Mahakama kama Muhimili unao jitegemea nao umejitumbukiza kwenye siasa hizo wananchi wataanza kukosa imani na mahakama
CDM/CCM vion gozi wao wa juu wanatakiwa wawa ambie ukweli wana wa Arusha ju ya Mayor Issue wasiewayumbishe wakazi wa jimbo hilo kwanini waaachilie vyombo vya habari kusema ingali wao wapo?? Ingwa twajua CDM ilienda kujieleza kuhusu Mayor na madiwani wake huko NMC(Viwanja vya NMC) still tulisikia tetesi kuwa madiwani wao waliomba kujieleza ndani ya siku 30 na kabla ya kuisha siku hizo 30 kamati kuu ya CDM ikawa imewafukuza.
Waziri mkuu akasema bungeni walifukuzwa kama hawaja tendewa haki waende mahakamani
Mahakama inawaambia watu au Viongzio kuwa hawa watu wasisemwe wala kuongelewa kwenye vikao mihadhara popote pale sasa sielewi hapo mahakama ilikuwa inamaanisha nini kuvunja katiba ya Uhuru wa mtu kuongea na simtukane mwezie au nini?

Mbona kuna kizungu mkuti hapo na ndio maana nkaseama kuanzia kwanza kunani Jimbo la Arusha (kupatikana kwa Mayor)
Kuanzia NEC,CCM,CDM,SERIKALI,MAHAKAMA watupe ukweli katika sakata hili mbona wanakuwa na kigugumizi wasiwafanye wananchi wa Arusha mazoba na watanzania kwa ujumla wasitufanye mazuzu sie wao kutoa tamko la kurudia kumtafuta mayor shida yao kubwa nini? Nadhani hata chanzo cha CDM kuanza kutimuana ndipo huku Kuwa NEC na CCM walitaka iwe hiyo style au?

Ukitizma Madiwani wa CCM walikuwa ni wengi sasa waliogopa nini kuipiga kura ya wazi au CCM walihisi madiwani wa CCM watawarudi tena CCM kama ilivyokuwa kwenye uchaguzi wa Mbunge na Rais.

Haya yote ndio kuna ibua haya yote tuanyo yaona Arusha huko waaandishi wa habari msitumike vibaya simamieni kazi yetu iambieni Jamii kinacho stahili

Kuna Maslahi gani mjini hapo Arusha(CCM,CDM,NEC,SERIKALI,MAHAKAMA) Mtupe jibu
 
Nakuelewa lakini pia kuna wasiwasi mkubwa kwa aliyetoa taarifa za ujambazi wa Lema,
si kwamba napingana na taarifa hizo kwa kuwa binafsi simfahamu Lema zaidi ya kusoma
habari zake ila tunahitaji fact kuliko kuongozwa na ushabiki. Pia imesemwa kuwa huyu
unayemuita mshirika wa Lema walishatemana kitambo kwa sababu ya tabia zake,
sasa inakuwaje kumhusisha na Lema hadi sasa wakati hawapo pamoja? Fanya utafiti
kwanza ndo urushe mawe...

Hata usemeje mkuu,
Watu husema birds of the same feathers fly together,
Zaidi ya hapo kama nilivosema facts zitajitokeza aidha kumsafisha au kumuthibitisha mheshimiwa Lema kwenye kundi hili la majahili.
Mbaya zaidi in choices of friendship, the onus of credibility lies with Lema na si huyo active jambazi Mgonja. Kwamba waliwahi kuwa marafiki is raising eye brows.
 
Mkuu, hizi habari za kuandikia newsroom baada ya kuambiwa na Nepi ni upuuzi mtupu!!
Kwanza hata waandishi wenyewe ni vichwa maji, unaandikaje para moja inayopingana na nyingine???

Pathetic loosers!!!

Magazeti mengine, angalia hii. Ni kweli tunamshikilia kwani watuhumiwa wa ujambazi waliokamatwa wamemtaja kuwa aliwakodishia gari na limekwenda kufanya uhalifu,” alisema RCO Paul. Gazeti hilo hilo cheki hii

Vyanzo vya habari vilidai kuwa polisi waliwabana watuhumiwa wengine wa ujambazi ambao ni wakazi wa Sekei na kumtaja Katibu huyo wa Mbunge kuhusika kuwabeba na kushirikiana katika matukio hayo ya ujambazi, lakini alifanikiwa kukimbia.

Likaendelea tena. Hata hivyo, habari zaidi zinadai kuwa Mgonja ndiye aliyekuwa akiendesha gari hilo na alikimbia baada ya kufanya uhalifu na kuwatosa watuhumiwa wengine na kutokomea kukimbia kukamatwa na polisi.
Huu uandishi gani wa habari za kiuchunguzi....?





 
Tatizo cdm mnatetea hata visivyotetewa kisa ni mtu wa cdm, inawezekana kabisa hata huyo Lema ni jambazi mi naamini na kama sio basi aende mahakamani kudai fidia hata ya shilingi moja kwa kuchafuliwa na Zombe! khaa! na kama ni majambazi wao sio cdm! kwani CCM wote ni mafisadi? mi sipendi kutetea ujinga kisa eti ni mtu wa cdm! inamaana kama ni majambazi na wanaendeleza wizi basi waachwe tu kisa cdm? inaudhi sana!
 
Tatizo cdm mnatetea hata visivyotetewa kisa ni mtu wa cdm, inawezekana kabisa hata huyo Lema ni jambazi mi naamini na kama sio basi aende mahakamani kudai fidia hata ya shilingi moja kwa kuchafuliwa na Zombe! khaa! na kama ni majambazi wao sio cdm! kwani CCM wote ni mafisadi? mi sipendi kutetea ujinga kisa eti ni mtu wa cdm! inamaana kama ni majambazi na wanaendeleza wizi basi waachwe tu kisa cdm? inaudhi sana!

Mkuu karibu.
 
Kamanda Zombe alishawahi kusema jambo kuhusika kwa Mh Lema na haya mambo.. Je katibu wake anaweza kuhudhihirishia umma juu ya matamshi ya Zombe?
I dont care kama msaidizi wa Lema ni jambazi au Lema ni jambazi........natumaini vyombo vya usalama vipo, vinatakiwa kufanya kazi yake na sheria ichukue mkondo wake.

Ushabiki ninaouona hapa ni ushabiki wa kitoto sana.

Nafananisha yanayoendelea kwenye saga ya Lema kuhusishwa na ujambazi sawa na siasa uchwara..........watu wenye akili zao wameiambia CCM kuwa nyie na serikali yenuni wezi, mafisadi na mnakumbatia mafisadi, then, serikali ya CCM na chama chake wanatafuta njia ya kuwanyamazisha wanaofichua uozo wao kwa njia za siasa maji taka.

Ukiambiwa wewe ni mchafu na unanuka, unatakiwa uende ukaoge na uvae nguo safi, then urudi na kumwambia aliyekwambia,...aaah! bwana, kumbe na wewe unanuka miguu!!

Kama nchi hii inataka kuendelea, lazima wadhalimu wote ndani ya serikali waondoke, waadhibiwe kwa kadiri ya makosa yao, na watu safi waingie.
 
wana JF,

Katibu wa Mbunge Lema anaitwa GABRIEL MBUKI, hata sasa hivi nimewasiliana naye yupo ofisini kwake.
Isipokuwa siku ya Jumamosi nikiwa pale Central Police niliwaona Mgonja na wenzake wakiwa under police custody, sikujua kilichoendelea. cha msingi ni kwamba Katibu wa Mbunge yupo, aliyekamatwa siyo katibu wa Mbunge.
 
wana JF,

Katibu wa Mbunge Lema anaitwa GABRIEL MBUKI, hata sasa hivi nimewasiliana naye yupo ofisini kwake.
Isipokuwa siku ya Jumamosi nikiwa pale Central Police niliwaona Mgonja na wenzake wakiwa under police custody, sikujua kilichoendelea. cha msingi ni kwamba Katibu wa Mbunge yupo, aliyekamatwa siyo katibu wa Mbunge.

Mkuu sasa huyu Mgonja anayehusishwa na Lema ana uhusiano gani naye?
 
Mkuu sasa huyu Mgonja anayehusishwa na Lema ana uhusiano gani naye?

inasemekana katika harakati za awali alishawahi kuwa katibu wa muda wa mbunge lema, wakati taratibu zinafanyika za kumpata katibu wa kudumu wa mheshimiwa mbunge.
lakini cha msingi ni kwamba even if he could have been katibu wa mbunge, isingemhusu mheshimiwa mbunge, kwani this is absolutely the personal trait, and it does not reflect any relationship to any other person. labda kwa sababu za siasa chafu za serikali ya ccm, hasa kwa kutumia vyombo vya habari vya umma kutaka kupotosha haki na ukweli.
taarifa ya kwamba nani katibu wa mbunge zinajulikana, kwani barua ziliandikwa kufanya utambulisho wa GABRIEL MBUKI kuwa katibu wa mbunge, nakala zikapelekwa kwa dispatch kwa OCD, RPC, IDARA YA HABARI MAELEZO na kwingine kote kunakohusika.
in general, this is siasa chafu ya kutaka kumchafua lema na chadema arusha, lakini hawataweza kufanya lolote, Arusha ni ya wananchi wenye hekiima na busara, wasiokubali kuburuzwa kwa namna yoyote ile.
 
Magazeti mengine, angalia hii. Ni kweli tunamshikilia kwani watuhumiwa wa ujambazi waliokamatwa wamemtaja kuwa aliwakodishia gari na limekwenda kufanya uhalifu,” alisema RCO Paul. Gazeti hilo hilo cheki hii

Vyanzo vya habari vilidai kuwa polisi waliwabana watuhumiwa wengine wa ujambazi ambao ni wakazi wa Sekei na kumtaja Katibu huyo wa Mbunge kuhusika kuwabeba na kushirikiana katika matukio hayo ya ujambazi, lakini alifanikiwa kukimbia.

Likaendelea tena. Hata hivyo, habari zaidi zinadai kuwa Mgonja ndiye aliyekuwa akiendesha gari hilo na alikimbia baada ya kufanya uhalifu na kuwatosa watuhumiwa wengine na kutokomea kukimbia kukamatwa na polisi.
Huu uandishi gani wa habari za kiuchunguzi....?

Wana JF,

Was this Scenario planned au??
Na kama mwandishi huyo alitumwa kuandika hivyo yawezekani watu kukubali kuwa mwandishi katumwa itajurikana kirahisi sana
Na kama mwandishi kaandika kwa kutumia professional yake hapo atakuwa katupotosha kama hakuwa na uhakika basi angeliufuatailia na kuandika kilicho halisia kuliko kupokea maneno na kumlishwa na watu kuandika jambo

Yeye kama yeye mwandishi amekaa vizuri akapitia upya hiyo habari upya kabla ya kuiposti kwa gazeti?

Na hofu kubwa hapo arusha kutakuja janga la kutoana roho live na mtasikia kisa ni hizi chuki za U mayor sijui au ni Gutter Politics za mji huo?

Hivi Kisa ni jimbo kweli au mbali na hiyo kwanini hii topic Vyombo vya habari vinaishadadia sana kuna njaa nini au me sijaona majibu halali ya matokeo yote haya baada ya uchaguzi wa Mayor ulipo fanywa kinyemela kwanini waandishi wasituhabarishi hilo maana chanzi ndicho hicho tuuuuu na kuna watu huko nadhani wana remote control mji huo wa arusha ndivyo sasa naanza kuamini hilo maana hiyo filimeee inavyo zungushwa leo hivi kesho vile na Meadia ndio Chanzo kikubwa kuipotosha Jamnii ya esp wakazi wa Jimbo hilo la Arusha nadhani wanayo haki sasa ya wao kuingia halimashauri kwa mkurugenzi na kumwambia amwage ugali na nyama au ni pilau nyama basi watu wajue nini hiki sasa, wananchi wa arusha mumewafanya wao ni mazuzu wa kuangalia komedi ya Gutter Politics kweli Nchi hii ni yakina nani ni watanzania kweli mnao jivunia Amani kweli au ni Amani Fake?

 
inasemekana katika harakati za awali alishawahi kuwa katibu wa muda wa mbunge lema, wakati taratibu zinafanyika za kumpata katibu wa kudumu wa mheshimiwa mbunge.
lakini cha msingi ni kwamba even if he could have been katibu wa mbunge, isingemhusu mheshimiwa mbunge, kwani this is absolutely the personal trait, and it does not reflect any relationship to any other person. labda kwa sababu za siasa chafu za serikali ya ccm, hasa kwa kutumia vyombo vya habari vya umma kutaka kupotosha haki na ukweli.
taarifa ya kwamba nani katibu wa mbunge zinajulikana, kwani barua ziliandikwa kufanya utambulisho wa GABRIEL MBUKI kuwa katibu wa mbunge, nakala zikapelekwa kwa dispatch kwa OCD, RPC, IDARA YA HABARI MAELEZO na kwingine kote kunakohusika.
in general, this is siasa chafu ya kutaka kumchafua lema na chadema arusha, lakini hawataweza kufanya lolote, Arusha ni ya wananchi wenye hekiima na busara, wasiokubali kuburuzwa kwa namna yoyote ile.

Mkuu hapo kwenye Red

Sidhani ni GUTTER POLITICS za CCM peke yake pia kuna siasa chuki binafsi, uhasama wa hapa na pale,uchu wa madaraka watu kuwa na vijiba vya roho mean kiroho cha korosho. na kuna watu natumaini kabisa wako pembeni wanaucheza huo mchezo kabisa fika.
 
wana JF,

Katibu wa Mbunge Lema anaitwa GABRIEL MBUKI, hata sasa hivi nimewasiliana naye yupo ofisini kwake.
Isipokuwa siku ya Jumamosi nikiwa pale Central Police niliwaona Mgonja na wenzake wakiwa under police custody, sikujua kilichoendelea. cha msingi ni kwamba Katibu wa Mbunge yupo, aliyekamatwa siyo katibu wa Mbunge.

Asante mkuu naona utakuwa umetusaidia sana kuhusu huu upotoshwaji
 
I dont care kama msaidizi wa Lema ni jambazi au Lema ni jambazi........natumaini vyombo vya usalama vipo, vinatakiwa kufanya kazi yake na sheria ichukue mkondo wake.

Ushabiki ninaouona hapa ni ushabiki wa kitoto sana.

Nafananisha yanayoendelea kwenye saga ya Lema kuhusishwa na ujambazi sawa na siasa uchwara..........watu wenye akili zao wameiambia CCM kuwa nyie na serikali yenuni wezi, mafisadi na mnakumbatia mafisadi, then, serikali ya CCM na chama chake wanatafuta njia ya kuwanyamazisha wanaofichua uozo wao kwa njia za siasa maji taka.

Ukiambiwa wewe ni mchafu na unanuka, unatakiwa uende ukaoge na uvae nguo safi, then urudi na kumwambia aliyekwambia,...aaah! bwana, kumbe na wewe unanuka miguu!!

Kama nchi hii inataka kuendelea, lazima wadhalimu wote ndani ya serikali waondoke, waadhibiwe kwa kadiri ya makosa yao, na watu safi waingie.

Hiii inatoka ndani ya roho yako kabisa mkuuu????

Basi wewe ni mwana harakati fika une tetea haki za wanyonge safi kwa point nzuri
 


Mkuu hapo kwenye Red

Sidhani ni GUTTER POLITICS za CCM peke yake pia kuna siasa chuki binafsi, uhasama wa hapa na pale,uchu wa madaraka watu kuwa na vijiba vya roho mean kiroho cha korosho. na kuna watu natumaini kabisa wako pembeni wanaucheza huo mchezo kabisa fika.

Hata hawa jamaa waliovuliwa udiwani wanaweza.....! lakini CCM, hao ndo balaa kwa siasa za kuchafuana
 
Back
Top Bottom