machokumchuzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 222
- 190
Ungemzabua vibao vi 2!
Aisee hawa jamaa wanasikitishaNaomba kuwasilisha.....View attachment 899767
Nadhani kama ungekua hauwahusudu wanaume wa Dar usingekuja hata kwenye huu uzi, ni mtazamo wako kuhisi au kuona watu wana hulka za kidada lakini hivyo vitu ndo vinafanya mpate cha kuongea maana kama hamumzungumzii wanaume wa Dar mtazungumza nini ? Cha ajabu dada zenu hao hao wa mikoani pamoja na mambo ya kidada dada lakini ndo huwaambii kitu hawasikiii wala hawaoni kwa wanaume wa Daslama....pengine swali nimeliwasilisha vibaya. samahan kwa hlo . umesema wanaume wa mkoani tunatamani tuwe Kama wanaume wa dar na Mimi nakuuliza swali je we ungetamani uwe na tabia Kama za kidada ? ni swali tu dogo .ni hayo tu mkuu