Hii vita itaisha lini?

Hii vita itaisha lini?

Naomba kuwasilisha.....
tapatalk_1536604712592.jpeg
 
Nimemsikia Mtangazaji 'Musa Husein' amejitangaza yeye ndio Mwenyekiti wa wanaume wa Dar. Nae amechukizwa na hizi kero za kuitwa Mwanaume wa Dar.
 
Kuna ule uzi wako unesema unakaa Sinza karibu na gest ukala kibudu au sio ww

Kukaa Dar haimaanishi wewe ni mwanaume wa Dar na kukaa mikoani haimaanishi ni wa Mkoani. Kinachosemwa hapa ni life style. Nadhani umenielewa
 
Nimemsikia Mtangazaji 'Musa Husein' amejitangaza yeye ndio Mwenyekiti wa wanaume wa Dar. Nae amechukizwa na hizi kero za kuitwa Mwanaume wa Dar.


sasa km i mwanaume wa Dar anachukizwa na nini?
 
Wanaume wa Dar hilo ni jina tu la wanaume walegevu na waoga kwenye maisha ila jina hilo halimaanishi wanaume wote wanao ishi Dar ndio wana tabia hizi,
Mwanaume yeyote hata uliopo Kigoma, Iringa, Arusha, Dodoma ukiwa na tabia za ulegevu na uoga kwenye maisha automatically utaitwa mwanaume wa Dar,
 
Back
Top Bottom