DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,064
- 45,688
Nipo Sehemu za Uswahilini naona wanawake na wahuni wote wanavaa vizuri wanapiga ushungi Kama wa Madam president so niseme ni Jambo zuri Sana endapo mkaishia hivyo Maisha yenu yote.
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM
Imekuwa kawaida watu kumuigizia Mungu wakati wa Ramadhani na baada ya huu Mwezi kuisha watu wanarudi katika uchafu so this is None-sense iidiotism philosophy
The repentance is now there's no reason to Fake anymore.
Ramadhan KAREEM