Hii tabia ya Waziri kutetea askari wanaokiuka haki za binadamu kwa makusudi kunawatesa wananchi

Kkimondoa

JF-Expert Member
May 31, 2014
4,453
4,933
imekuwa kawaida kwa askari kufanya mauaji na unyanyasaji wa kwa raia kisha kutetewa na wakuu wa polisi pamoja na waziri wa mambo ya ndani hali ambayo ni tofauti na yale wafanyiwayo watumishi wengine

hali hii haiboreshi jeshi bali inalitia doa jeshi na na kulifanya lizidi kuchukiwa na kuto aminika

lakini pia hali hii inawafanya askari kujiona wako juu ya sheria kitu nacho kinazid kuumiza wananchi wanao nyanyaswa na askari hao

nimesikitishwa sana na awala la mama huko mang'ula aliye zalia kituoni ambaye aliwekwa ndani kwa kosa la mumewe eti kisa mumewe katoroka waka muweka mkewe ndani

lakin nineumizwa sana kamanda wa polisi alivyo potosha ukweli kuwa eti mwanamke ndiye aliye kamatwa na vidhibiti kitu ambacho si kweli hata kidogo

polisi wa tanzania si wakuwaamini kabisa ni waongo na wabambikiaji kesi za uongo kwa raia wamemuonea mama wa watu na kumdhalilish , polisi hawana utu kabisa halafu wanalindana kuanIa waziri hadi makamanda wao

jeshi limekosa weledi kabisa tanzania na serikali hii ndio chanzo cha kutufikisha hapa

jeshi lipo juu ya sheria linawafanya raia watakavyo kwani wanaamini eata lindwa tu , viongozi wa juu wa jeshi ni waongo waongo wanalondana kwenye unyama

lakin tuhuma zikimkuta mtumishi mwingine hatua huchukuliwa kabla hata ya uchunguzi hali hii inanifanya niwaze kwamba askari akiingia kwenye anga zangu tunamaliza huku huku mtaani maana nikimrpoti hatochukuliwa hatua zaid ya kuhamishwa kituo
 
Usishangae askari wahusika wakapandishwa cheo.
Kuna tetesi huyo Mama ni CDM!
 
lakini pia hali hii inawafanya askari kujiona wako juu ya sheria kitu nacho kinazid kuumiza wananchi wanao nyanyaswa na askari hao

nimesikitishwa sana na awala la mama huko mang'ula aliye zalia kituoni ambaye aliwekwa ndani kwa kosa la mumewe eti kisa mumewe katoroka waka muweka mkewe ndani


Ipo siku nchi hii itabakia na watawala na polisi wao ndipo wataelewa umuhimu wa raia
 
imekuwa kawaida kwa askari kufanya mauaji na unyanyasaji wa kwa raia kisha kutetewa na wakuu wa polisi pamoja na waziri wa mambo ya ndani hali ambayo ni tofauti na yale wafanyiwayo watumishi wengine

hali hii haiboreshi jeshi bali inalitia doa jeshi na na kulifanya lizidi kuchukiwa na kuto aminika

lakini pia hali hii inawafanya askari kujiona wako juu ya sheria kitu nacho kinazid kuumiza wananchi wanao nyanyaswa na askari hao

nimesikitishwa sana na awala la mama huko mang'ula aliye zalia kituoni ambaye aliwekwa ndani kwa kosa la mumewe eti kisa mumewe katoroka waka muweka mkewe ndani

lakin nineumizwa sana kamanda wa polisi alivyo potosha ukweli kuwa eti mwanamke ndiye aliye kamatwa na vidhibiti kitu ambacho si kweli hata kidogo

polisi wa tanzania si wakuwaamini kabisa ni waongo na wabambikiaji kesi za uongo kwa raia wamemuonea mama wa watu na kumdhalilish , polisi hawana utu kabisa halafu wanalindana kuanIa waziri hadi makamanda wao

jeshi limekosa weledi kabisa tanzania na serikali hii ndio chanzo cha kutufikisha hapa

jeshi lipo juu ya sheria linawafanya raia watakavyo kwani wanaamini eata lindwa tu , viongozi wa juu wa jeshi ni waongo waongo wanalondana kwenye unyama

lakin tuhuma zikimkuta mtumishi mwingine hatua huchukuliwa kabla hata ya uchunguzi hali hii inanifanya niwaze kwamba askari akiingia kwenye anga zangu tunamaliza huku huku mtaani maana nikimrpoti hatochukuliwa hatua zaid ya kuhamishwa kituo
Acha unyooshwe!! Tulia dawa ikuingie vizuri upone!!
 
Kuna ndugu yangu aliwahi kuniambia kuwa hapa duniani kuna watu ambao ukikuta wanaonewa au kudhalilishwa hutakiwi kuwaonea huruma au kuwatetea. Watu hao ni Polisi, Mgambo wa City na Kondakta wa Dalala!
 
Ukikamatwa na vidhibiti ndio unaachwa ujifungulie kwenye nyasi?

Anyway, bungeni kuna wanawake ila hawajaonyesha kuguswa na unyanyaswaji wa mwanamke mwenzao.

Acha na sisi tunyamaze!
 
Kuna ndugu yangu aliwahi kuniambia kuwa hapa duniani kuna watu ambao ukikuta wanaonewa au kudhalilishwa hutakiwi kuwaonea huruma au kuwatetea. Watu hao ni Polisi, Mgambo wa City na Kondakta wa Dalala!
Na mwanachama wa ccm
 
Huyo RPC wa Moro mnaulaumu bure, yeye ameletewa taarifa na OCD wa Kilombero, huyo ndiye anastahili hatua za kinidhamu kwa kupitosha ukweli na kumdanganya Kamanda wake.

Vv
 
Naibu waziri na kamanda wa polisi wanapingana naibu masauni amekiri hilo tukio na kusema kachukuliwa hatua lkn kamanda anasema mwanamke ndo mhusika.yani hawa jamaa awanaga huruma sijui kwann,mtu asipokuwa polisi aanakuwa MTU mzuri lkn akiingia huko anabadilika roho na kuwa kauzu .
 
Naibu waziri na kamanda wa polisi wanapingana naibu masauni amekiri hilo tukio na kusema kachukuliwa hatua lkn kamanda anasema mwanamke ndo mhusika.yani hawa jamaa awanaga huruma sijui kwann,mtu asipokuwa polisi aanakuwa MTU mzuri lkn akiingia huko anabadilika roho na kuwa kauzu .
Huku mwelewa Naibu Waziri kasema wanafanya uchunguzi hivyo kama wangekuwa na uhakika kwamba askari wale wanamakosa wangekuwa tayari wangekwisha chukuliwa hatua tayari.
 
Kwa taarifa yako mleta mada polisi hata wafanye kosa gani usitarajie wachukuliwe hatua awamu hii, kumbuka hao ndio wanaochangia hao wanaccm waendelee kuwa madarakani. Na hiyo 2020 ndio tegemeo la ccm kushinda. Katika mazingira hayo hata kama huyo waziri kakerwa na hilo jambo inabidi awe mpole tu kwani bila hao polisi hata yeye uwaziri wake uko mashakani.

Kwahiyo mbele ya awamu hii askari ni nguzo muhimu kuliko raia, nadhani uliona ule uchaguzi wa marudio mabox ya kura yalitolewa na kurudishwa yakiwa yamepigiwa kura za ccm, kama sio polisi kufumbia macho ule uporaji leo ingekuwa aibu. Hivyo hapo polisi na serekali ni ile inaitwa nilinde kwa jua nikulinde kwa mvua.
 
Kipi kilichochema kwao, kipi tuelewe sisi.
Tunaenda kushtaki sisi, polisi wanakuja kukamata
Wakiondoka na mhalifu wakimuhoji na kujiridhisha kisha wakamuachia mtuhumiwa washtaki wake wanasema Polisi imechukua RUSHWA.

Polisi ikimchukua mtuhumiwa na kumuweka ndani akipata matatizo lawama zinageuka kwao.nakubali suala la huyu binti limeamuriwa vibaya.

Chumba ni cha kwao yeye na Mumewe hawa wote ni wezi, polisi ilichofanya ni sawa kuchukua kielelezo na mtuhumiwa wakiwa na mlalamikaji( RAIA) kiongozi Wa kijiji na askari polisi.

Huyu kiongozi Wa kijiji alipaswa amdhamini mwananchi wake, kutokana na hali aliyonayo japo mlalamikaji akimuona mtaani atasema RUSHWA imetolewa.

Polisi ni werevu lawama zinaenda kwao kwa sababu wanatakiwa wawe MADAKTARI kutambua huyu mama yupo katika hatua za mwisho za kujifungua hastahili kukaa lock up
 
Huku mwelewa Naibu Waziri kasema wanafanya uchunguzi hivyo kama wangekuwa na uhakika kwamba askari wale wanamakosa wangekuwa tayari wangekwisha chukuliwa hatua tayari.
Nenda kamsikilize vizuri masauni alichoongea ndo utajua.
 
Back
Top Bottom