Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,506
- 113,626
Mbona sijaona kilichopikwa hapo, wamechagua namna ya kuiripoti tu, ili iwe relevant kwa nchi yao
Mfano mpo kwenye patnership kampuni tatu, A, B na C...mbili kati ya hizo, sema A na B mkakubalina kuanzisha mradi pamoja, mkamuacha C
Sasa wawakilishi wa A na B watairipoti kwa wafanyakazi na wadau wao kuwa kuwa ''kwa pamoja, Kampuni A na B tumekubaliana kushirikiana kwenye miradi kadhaa''
Sasa C kuripoti kwa wafanyakazi na wadau wake atasema, ''Kampuni A na B wameamua kututenga kwenye mradi wao'' na bado wakawa sahihi.. kwa sababu mlikuwa patners mwanzo
Wanabodi, sio mara moja au mara mbili, kumekuwa na negative publicity kuhusu Tanzania kwenye media za kwao, mara wamtukane rais wetu, mara watutukane Watanzania, etc, na sisi Watanzania kwa vile ni wapenda Amani, siku zote tunajinyamazia tuu bila kuwajibu, sasa imefikia hatua media za Kenya, zikisoma habari yoyote ya maendeleo kwenye reginal intergration kutokea Tanzania, wataipindua na kuireport negative.
Unataka nani asilinyamazie?
Hapa nchini kwetu tu yanafanyika hayo na uchochezi juu.. wananchi wanashangilia na wao kuandika uongo mitandaoni juu ya utawala..
Sasa unafikiri kweli hawa wakenya hawayaoni hayo? Waambie waweke ya kiudaku udaku hapo paaa wananchi watawanyoosha sana sana..
Nchini hapa badala ya kutumia mitandao kupaishana hata kibiashata n.k.
watu ni kushushana na kuandika uongo.. hao hawana tofauti na wengi hata upinzani kwa uongo.. na wanajua wa TZ ya kihivyo wengi akili walaaaaa hazichangamki