Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Sio mara moja au mara mbili, kumekuwa na negative publicity kuhusu Tanzania kwenye media za kwao, mara wamtukane rais wetu, mara watutukane Watanzania, etc, na sisi Watanzania kwa vile ni wapenda Amani, siku zote tunajinyamazia tuu bila kuwajibu, sasa imefikia hatua media za Kenya, zikisoma habari yoyote ya maendeleo kwenye reginal intergration kutokea Tanzania, wataipindua na kuireport negative.
Mfano hai ni wiki iliyopita nimehudhuria mkutano wa UNCTAD uliofanyika Tanzania, ni media za Tanzania tuu ndio zilialikwa.
Magazeti ya Daily News na Citizen, yakaripoti mkutano huo very positively
Story ya Daily News ni hii DRC, Uganda engaged on road user fee
na Story ya the Citizen ni hii New railway projected to reduce transport costs
Media mbili za Kenya zikai pick that story from the Citizen, zikaipika, kuigeuza na kuitungia uongo kwa kuongeza majungu ambayo hayakuzungumzwa popote!.
Angalia hapa kilichoripotiwa Tanzania Locks Out Kenya in New Border Deal
na pia angalia hapa kilichoripotiwa Tanzania omits Kenya from preferential transport deal
Kwa mimi nilikuwepo, hicho kilichoripotiwa na media za Kenya ni uzushi na uongo mtupu!.
Kwa nini Tanzania tunapozushiwa vitu vya uongo kwa lengo la kutuharibia tuu, huwa tunanyamaza tuu bila kujibu?. Hawa Wakenya, tukiendelea kuwanyamazia tuu, utafikia wakati, watatutia vidole machoni!.
Paskali.
Rejea za baadhi ya mambo tuliozushiwa tukanyamaza.
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi!
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta!
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya?
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!
Sio mara moja au mara mbili, kumekuwa na negative publicity kuhusu Tanzania kwenye media za kwao, mara wamtukane rais wetu, mara watutukane Watanzania, etc, na sisi Watanzania kwa vile ni wapenda Amani, siku zote tunajinyamazia tuu bila kuwajibu, sasa imefikia hatua media za Kenya, zikisoma habari yoyote ya maendeleo kwenye reginal intergration kutokea Tanzania, wataipindua na kuireport negative.
Mfano hai ni wiki iliyopita nimehudhuria mkutano wa UNCTAD uliofanyika Tanzania, ni media za Tanzania tuu ndio zilialikwa.
Magazeti ya Daily News na Citizen, yakaripoti mkutano huo very positively
Story ya Daily News ni hii DRC, Uganda engaged on road user fee
na Story ya the Citizen ni hii New railway projected to reduce transport costs
Media mbili za Kenya zikai pick that story from the Citizen, zikaipika, kuigeuza na kuitungia uongo kwa kuongeza majungu ambayo hayakuzungumzwa popote!.
Angalia hapa kilichoripotiwa Tanzania Locks Out Kenya in New Border Deal
na pia angalia hapa kilichoripotiwa Tanzania omits Kenya from preferential transport deal
Kwa mimi nilikuwepo, hicho kilichoripotiwa na media za Kenya ni uzushi na uongo mtupu!.
Kwa nini Tanzania tunapozushiwa vitu vya uongo kwa lengo la kutuharibia tuu, huwa tunanyamaza tuu bila kujibu?. Hawa Wakenya, tukiendelea kuwanyamazia tuu, utafikia wakati, watatutia vidole machoni!.
Paskali.
Rejea za baadhi ya mambo tuliozushiwa tukanyamaza.
Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"
Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi!
Serikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu Magufuli kuwa ni Dikteta!
Huku sio kudhalilishwa kwa Rais wetu na Media za Nje? Je, watanzania tukubali, Tukae kimya?
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli? Kama si kweli, Tusiukubali Uongo huu, Tuukanushe!