Hii tabia wanaume wengi wanayo

Kwanza hizo zawadi mnazopokea kila siku nanyi muwe unatuonea huruma hivi hamchoki tu kupokea zawadi zawadi, na baada ya mchezo tunapunguza kwakuwa hata kwenye kula kasi ya tonge la kwanza ni tofauti na tonge la pili na kuendelea....tuvumiliane tu
 
Si ndo hivyo,unamfeel unampa akisha pata anatoweka
Na wewe toweka pia..atastuka uyu mtu mbna hashoboki?.
Akija umuwahi wewe kutoweka fanya ishu zingine
Mapenzi ndivyo yalivyo on and off
 
Wakati wa kampeni ni tofauti na wakati wa kitawala. Awamu ikishaingia madalakani ni mwendo wa kutawala.
 
Pole sana Uzuri wa mwanamke ni ikiwa hujamvua.
Huenda hakupata utamu aliokuwa anakusudia.
 
Kwakweli hata mimi nna tabia hii, natamani kuiacha ila ndo nashindwa, nikishakula tunda hisia zinapungua kwa kasi namuona wa kawaida
 
Kama kuna member humu anayesumbuliwa na matatizo ya aina hiyo, mwenye kuhitaji kuoa/kuolewa Ila mwenza anakuwa kama haeleweki usisite nifate pm nakuhakikishia matokeo mazuri 100% mwezi ni mrefu ndoa itakuwa ishatangazwa. (Mungu anisaidie kwa hili) mpenzi wako unayemuhitaji akuoe/kumuoa asiwe mke/mme wa mtu basi sharti ni hilo tu.
 
Demu unamusotea muda kweli na haonyeshi dalili za kukukubalia hitaji lako kwa muda..

Unakomaa wee kwa khali na mali

Unajitahidi kumuonyesha kuwa unampenda na unamhitaji pia

Anakuona wa nini/dharau nyingi..

Hapo kidume unakomaa tu ili kupata unachokiita kwake...

Unampata na unamgegeda...

Unakuta kulinga kote kule na kukuzungusha kwa muda...

Unakuta yaliyomo hayamo hata kidogo....

Mashauzi kibao kumbe ndani hamna lolote....

Hapo lazima nikukimbie tu...
 
Hapo ndipo uelewe thamani ya mwanamke huwa ni wakati gani na hata uwe na uzuri kiasi gani muhimu jitunze ili uolewe hata ukichokwa upo ndani sasa ww achia hilo K na kila unaekutana nae mwishowe bwawa ufugie fangasi.
 
Tatizo some of u girls are playing " hard to get " Mwezi mzima ni mwingi sana.Mi kuna demu miaka ya nyuma nilimfuafiliaga mwaka mzima..by the time ananipa mchezo nikawa tayari nimeshamtoa akilini na sikuona cha tofauti alichokuwa nacho ambacho wanawake wengine hawana...so nikampiga chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…