Hii tabia sio kabisa wadau

Proffesor

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2014
Posts
2,170
Reaction score
3,022
Proffesor anasema. .... Unamwalika msichana ( ndo na mfukuzia ) anakuja na wenzake wa tatu jumla wanakuwa wa nne sio kabisa wadau. . Jana nimemwalika msichana mmoja ambaye na mfukuzia for dinner. . Duhhhhh si wakaja wa 4 dahhh kidogo niabike isingekuwa hiz M-pesa nngeaibika hiyo jana.. hii tabia kwa wasichana sio kabisa aiseeee. . Ikumbukwe mtu unakuwa na bajet ya 1siku hiyo ..
 
Ndo matokeo ya kufukuzia makahaba na mapunguani yanayowaza kuchuna. Mbona wadada wa ukweli waliolelewa kwa maadili wapo japo ni wachache lakini kama una nia nzuri utawapata tu.
 
inategemea imeingia na gia gani kwa uyo manzi.km ulijifanya una chapaa lazma wakukamue.chezea mabint w mjini wewe?utaumia bure acha ubishoo
 
kama yupo humu nadhani atakuwa amekuelewa!
 
Unafukuzia mashankupe ya mjini unategemea nin?
 
unawaomba wote papuchi...lets have a fivesome.
 
Hiyo inaitwa NIITE TUJE
ukiona dem anakufanyia hivo chapa lapa hupendwi hapo wakikaa wanakonyezana tu
wanakuchamba kwenye vimeseji "shost jamaa yako yupo yupo tu kama paka wa balozi kantangaze"
hahahahahaha nina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…