Hii Super League Ina Mapungufu Makubwa

Ni jambo jema kwa Super League kuletwa Africa kwani angalau na sisi tutaoneka na mchango katika uvumbuzi na utekelezaji wa kitu kipya kwenye mchezo wa mpira.
Kila mara sisi ni wa mwisho yani wa kufuata yale ambayo wenzetu wameshayajaribu kwenye ligi zao, sisi tuna copy na ku paste tu.
Hivyo ni wakati wetu na sisi kufanya majaribio ya huo mfumo pengine tunaweza tukafanikiwa na wao wakaja kujifunza kupitia sisi. Mfano VAR ilianza kutumika kwenye ligi ya Uholanzi mwaka 2012 huko lakini leo dunia nzima inatumika.
una matani wewe, kitu kipya kivipi wakati ulaya na south america wamekataa. wao sio wajinga wameona mbali.
tatizo africa njaa ndio inaendesha maaumuzi na sio akili.
 
una matani wewe, kitu kipya kivipi wakati ulaya na south america wamekataa. wao sio wajinga wameona mbali.
tatizo africa njaa ndio inaendesha maaumuzi na sio akili.
Kwa hiyo Real madrid, Man u, Arsenal , Juventus, Barcelona, Man city n.k wana njaa? Maana hao ndio walitaka kuanzisha hiyo super league ila viongozi wa vyama vya soka wakapinga.
Yaani kwa ulaya vilabu ndio vilitaka kuanzisha hiyo ligi ila hawakuungwa mkono na viongozi wa vyama vya soka. Sasa jiulize akina Real madrid ya Perez ina njaa gani?
 
una matani wewe, kitu kipya kivipi wakati ulaya na south america wamekataa. wao sio wajinga wameona mbali.
tatizo africa njaa ndio inaendesha maaumuzi na sio akili.
[/QUOT
Walio ikataa ulaya ni mashabiki wa timu maskini wakihofihia kwamba timu zitakazo shiriki zitaongezwa zitapata pesa nyingi hivyo utajiri wao utaongezeka maradufu.
Rakini kwa Africa ni tofauti maana timu nyingi zinajiendesha kwa hasara mfano Simba na Yanga, ingawaje zilifanikiwa kushiriki zita pewa pesa ya bonasi kubwa ambayo itasaidia club husika kutokuwa tegemezi kwa masponsor.
 
Ni ligi ambayo ulaya waliikataa na ikashindikana kule,sasa hawa wakubwa wa Fifa wameileta huku Afrika kwakua bara hili kwa kiasi kikubwa linakabiliwa na uchumi mbovu na njaa,haraka haraka wamelipitisha lakini ukiangalia muundo mzima wa ligi hii na uendeshaji wake unaona umekaa kibaguzi zaidi.

Mfano
1)kwenye ushiriki.
Wanapendekeza washiriki wawe timu zilizo kwenye rank ya Caf ambapo wanachukua timu 24 tu
Sasa unajiuliza hiyo Caf ranking ina validity ipi? Maana mfano mara ya mwisho kwa nchi ya Tanzania timu ambazo zilikua jirani jirani katika rank hiyo ni Simba na Namungo kitu ambacho Unaona si sahihi kwani tokea timu hizo zipewe rank umepita muda mrefu na timu zimeporomoka sana tofauti na pale walipopewa rank lakini Caf bado anatambua rank ambayo imepitwa na wakati hili haliko sawa.

2)Timu shiriki zinaenda kulipwa mabilioni ya pesa ambayo yanakwenda kujenga tabaka kubwa kati ya timu shiriki na zile ambazo hazishiriki anyway si jambo baya mzigo ukiwa mnono lakini limo ndani ya huohuo mfumo ubaguzi wa ushiriki.

3)Kasoro nyingine eti hao washiriki hizo timu 24 ndio hizo hizo zitashiriki miaka yote mpaka pale mmoja wao apigiwe kura ya kuondolewa kwenye ligi hiyo.

Kiufupi ni mfumo mbovu unaokuja kudhoofisha soka la afrika,na ndio kisa unaona hata akina barbara wameomba kueleweshwa zaidi juu ya vigezo na masharti ya hii super ligi.

Hii kitu haifai,wangetaka labda wangefanya katika kila ligi afrika wachukue timu mbili mbili au moja yaani bingwa wa ligi wacheze ligi hiyo na iwepo kila mwaka na upande wa pesa kibaki hivyo hivyo hapo sasa kila timu itapigana ili iwe bingwa ligi ya nyumbani,kulikoni wafanye watakavyo wao.

Wazungu waliikataa hii kitu,njaa zitatuponza wa afrika.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
CAF ndio FIFA ya Afrika utulie tu kama unapashwa moto.
 
Aliyekwambia Simba ipo ni nani??
Weka hapa hizo timu, au ingia kwenye tovuti ya CAF kama utaona huo ujinga unaowaza wewe.

Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu sana, hawasomi masharti ya jumla ya michuano yoyote, hata hili la kuanzia mchangani tuliwaelimisha ni namna gani inatokea na wao wakaza matako kuwa wao lazima waanzie raundi ya kwanza.

Hata hili kuna masharti yake, namna timu zinavyopatikana, idadi kwa kila nchi nk. Mfano sheria inataka kila kutoa timu si zaidi ya 3, lkn ukiangalia list mnayotumiana unaona Misri ina timu 4, AL AHLY, ZAMALEK, PYRAMID na AL MASRY. Unakaa unajiuliza hawa mashabiki wa Simba wana akili sawasawa kichwani??

Tumieni akili kwenye kila kitu, michuono yoyote ile sio favour ni qualities na ambayo hupatikana kutakona na perfomance ya Ligi yako ya ndani.

MASHABIKI WA SIMBA NI WAPUMBAVU na WAJINGA.
YANGA = JINGA
 
Mashabiki wa Yanga mnapanic maepma sana.
Mpangilio wa hii ligi bado haujatoka.

Utaratibu kamili utatoka na namna ya upatikanaji wa washiriki pia.

Kaa kwa kutulia
 
Dunia nzima hii ligi ilikataliwa na mashabiki na baadhi ya wachezaji

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Sio kweli laliga walikubali kwasababu hawako sawa kiuchumi unaona mpaka leo Barcelona hawajarudi kwenye hali yao ya zamani wanadai korona iliwarudisha nyuma labda baadhi ya team za English premier league.
 
Mie sikubaliani na hiyo argument kwa sababu moja kuu. Timu za africa kutokupata sponsors wengi ni kwa sababu ya poor administration. Kila kitu ni kuweka ten percent kama sio fifty percent. No sponsor anataka weka hela kwenye kitu ambacho kinaharibu image yake.
 
Kwa hiyo Real madrid, Man u, Arsenal , Juventus, Barcelona, Man city n.k wana njaa? Maana hao ndio walitaka kuanzisha hiyo super league ila viongozi wa vyama vya soka wakapinga.
Yaani kwa ulaya vilabu ndio vilitaka kuanzisha hiyo ligi ila hawakuungwa mkono na viongozi wa vyama vya soka. Sasa jiulize akina Real madrid ya Perez ina njaa gani?
Kwa nini vyama vya mipra vilikataa? Ni kwa sababu waliona mbali ila vyama vya africa kwa sababu ya njaa zao ndio maana wamekubali.

Hivyo vilabu vimekubali kwa sababu wao wameshaona kuwa ndio watakuwa the biggest winners financially.

Okay tuchukulie simba wapo ha na all goes well wanashinda hiyo ligi. Wana dollar millio 11 prize money. Wanaweza kwenda nunua wachezaji wowote ulimwenguni huko wee unadhani starting 11 ya simba itakuwa na wazawa wangapi? Sii hadi huku watakuja kuomba tff kuwa waweze kufield 11 foreign players...so it is to the detriment of local football.

Twende mbele turudi nyuma hao wazungu na south aerica kukataa tayari wanajua tatizo lipo wapi. Kuna njia nyingi zingine za kubora hiyo champions league. Ongeza prize money. Fanya utafuti waulize vilabu on average wanatumia gharama kiasi gani mpaka kufika final. After that wewe weka prize money iwe three times the average cost ya kufika champions league final tuone kama watu hawatauana.

Unaweza kwenda even further ukasema kabisa kuwa 25% ya hiyo hela lazima iende kwenye academys.
Wee leo hii ona jinsi watu tunavyodanyanyana u20 wanacheza mijeba. Huku ndio hela ilipopaswa kuwekwa na sio hiyo super league. Super league will not be a panacea to african football lagging behind.
 
Wee usidhani wote humu ni wana mambo ya simba na yanga. Wapo watu tunapenda boli basi.

Waafrica wapuuzi wasingekuwa wapuuzi tungekuwa tulishashinda kombe la dunia. Tungekuwa tayari tuna spot zaidi ya tano world cup.
Mpuuzi mwenyewe na ukoo wako wote,huna adabu hata kidogo.
 
Kwa nini vyama vya mipra vilikataa? Ni kwa sababu waliona mbali ila vyama vya africa kwa sababu ya njaa zao ndio maana wamekubali.

Hivyo vilabu vimekubali kwa sababu wao wameshaona kuwa ndio watakuwa the biggest winners financially.

Okay tuchukulie simba wapo ha na all goes well wanashinda hiyo ligi. Wana dollar millio 11 prize money. Wanaweza kwenda nunua wachezaji wowote ulimwenguni huko wee unadhani starting 11 ya simba itakuwa na wazawa wangapi? Sii hadi huku watakuja kuomba tff kuwa waweze kufield 11 foreign players...so it is to the detriment of local football.

Twende mbele turudi nyuma hao wazungu na south aerica kukataa tayari wanajua tatizo lipo wapi. Kuna njia nyingi zingine za kubora hiyo champions league. Ongeza prize money. Fanya utafuti waulize vilabu on average wanatumia gharama kiasi gani mpaka kufika final. After that wewe weka prize money iwe three times the average cost ya kufika champions league final tuone kama watu hawatauana.

Unaweza kwenda even further ukasema kabisa kuwa 25% ya hiyo hela lazima iende kwenye academys.
Wee leo hii ona jinsi watu tunavyodanyanyana u20 wanacheza mijeba. Huku ndio hela ilipopaswa kuwekwa na sio hiyo super league. Super league will not be a panacea to african football lagging behind.
Local football ya Zanzibar ina mafanikio gani maana klabu zote wazawa ni 99%.? Klabu za zanzibar zina mafanikio gani kwenye mashindano ya CAF ? Ni kwamba hazifanikiwi sababu ni klabu masikini. Hazina uwezo wa kutengeneza mchezaji mzawa wa kisasa.

Kwa nini hauwazi hiyo hela simba ikipata asilimia kadhaa itajenga academy za u10, 12, 20 n.k bali unawaza kwamba hiyo hela itakuwa ni kununulia wachezaji wa kigeni tu?

Kwani hiyo 25% ya kuendeleza academy haiwezi kutokea kwenye zawadi za kutokea super league, kwa nini uone inawezekana tu kupitia champions league?
 
Kwa hiyo Real madrid, Man u, Arsenal , Juventus, Barcelona, Man city n.k wana njaa? Maana hao ndio walitaka kuanzisha hiyo super league ila viongozi wa vyama vya soka wakapinga.
Yaani kwa ulaya vilabu ndio vilitaka kuanzisha hiyo ligi ila hawakuungwa mkono na viongozi wa vyama vya soka. Sasa jiulize akina Real madrid ya Perez ina njaa gani?
Hata wao ndio wana njaa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom