Hahahahahahaaa.... tumeumia sana kwenye hii game mzee!!
acha tu nahisi maumivu ya kichwa
Hahahahaa!!....... Mambo ya soccer hayo ukiwa na moyo mwepesi unaweza kujikuta unakata moto..
Naikumbuka sana ile match ya man u vs Barca pale wembley...
Babu Ferguson kidogo azimie
Special one amejitahidi sana na since chelsea imetoka hakuna timu england itakayopita(in Gary neville's voice)
Nilitaka kucheka lakini nimekumbuka wiki ijayo, acha tu!