everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Honey Faith tafadhali usiwaumize hawa watu waonee huruma wenzio.....lol
Last edited by a moderator:
Honey Faith tafadhali usiwaumize hawa watu waonee huruma wenzio.....lol
Yenu afadhali sisi lazima mshinde zaidi ya 3
Honey Faith tafadhali usiwaumize hawa watu waonee huruma wenzio.....lol
Acha hizo wewe, mpira hauchezwi mdomoni.Subiri uone watu watakavyopokea vichapo.
Haya na tutaonaLabda vichapo vya fimbo ila kama ni magoli mnapigwa nyingi
Mhindi alichekelea sana hela za jamaa zake jana!
Matumaini mengi sana kwa chelsea, kumbe hollaaa!!
mkuu naomba unielekeze jinsi ya kujiunga hyo meridianbet online, napenda kubet ila sipendi kusimama na watoto kwenye vibanda..Mkuu mimi natembea na meridianbet online.
Timu zangu 2 mpaka 3 mwisho nabandika cash za maana.
mkuu naomba unielekeze jinsi ya kujiunga hyo meridianbet online, napenda kubet ila sipendi kusimama na watoto kwenye vibanda..
Mhindi alichekelea sana hela za jamaa zake jana!
Matumaini mengi sana kwa chelsea, kumbe hollaaa!!