Phb_himself
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 221
- 184
Jamaa anasoma na demu wake chuo huko Kigamboni jana ndio ilikuwa aondoke aende likizo maana wamemaliza mtihani wakaagana na demu jamaa akasepa mida ya saa kumi jioni. Demu ni mtu wa Chuga imefika mida ya saa moja jamaa akarudi akasema kakosa usafiri wa kumfikisha feri akamcheki demu wake ili ampe taarifa, kupiga simu hapatikani mpaka mida ya saa nne akaenda kulala akijua labda demu kalala.
Imefika asubuhi mida ya saa moja anapigiwa simu na demu wake kupokea kinaongea kidume jamaa akaweka loudspeaker kidume kinadai ni demu wake na muda huo wapo lodge jamaa haamini akazima palepale daaaah! Wahuni hatuamini kwanza demu huwezi mdhania ila jamaa mpaka sasa hivi bado haamini na ukicheki ni couple ya mfano na jamaa ni moja ya watu peace sana hana makuu ila katendwa na mtu ambaye dah!
Imefika asubuhi mida ya saa moja anapigiwa simu na demu wake kupokea kinaongea kidume jamaa akaweka loudspeaker kidume kinadai ni demu wake na muda huo wapo lodge jamaa haamini akazima palepale daaaah! Wahuni hatuamini kwanza demu huwezi mdhania ila jamaa mpaka sasa hivi bado haamini na ukicheki ni couple ya mfano na jamaa ni moja ya watu peace sana hana makuu ila katendwa na mtu ambaye dah!