Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

Ndugu zangu eid mubarak

Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote walikuwa wamefunga wananialika Eid tukailie chimbo.

Me kwakweli nimekataa sitaki laana ndogondogo. Yani mwezi mzima watu wamefunga kumlilia Mungu Leo hata Eid haijafika hata katikati Niko gest 😲!! hapana kwakweli

Mwezi huu vitimoto vyote vilikosa walaji, gest pia waingiaji walipungua sasa Mara hii washaanza kusumbua
Nachoookaaa Shanghazi yenuu
uchoyo sio jambo zuri kama binadamu tunaotegemeana
 
Ndugu zangu eid mubarak

Bwana bwana basi muvumilie japo kidogo mmalize 6. Yan jana tu mfungo mmemaliza mshaanza kusumbua kama nini Eid mkaisherehekee gest? Tangu jana ni mtu wa 4 tena wote walikuwa wamefunga wananialika Eid tukailie chimbo.

Me kwakweli nimekataa sitaki laana ndogondogo. Yani mwezi mzima watu wamefunga kumlilia Mungu Leo hata Eid haijafika hata katikati Niko gest 😲!! hapana kwakweli

Mwezi huu vitimoto vyote vilikosa walaji, gest pia waingiaji walipungua sasa Mara hii washaanza kusumbua
Nachoookaaa Shanghazi yenuu
Wawekee bei elekezi mkuu wasihangaike kujaa PM
 
Nyuzi kama zitajaa wiki hii yote, utakuta hadi mbeya ambayo waislam wote wakitaka kwenda guest hawajazi nao watakuja kusema waislam wamejaza gest na kumaliza kitimoto yote


Kumbe wanatombana wao kwa wao na kitimoto wanakula wenyewe
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom