Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,833
Kanali ni mjeshi na hili nadhani kwake ni suala la principle haijalishi kama pesa zingekuwa milioni moja au shilingi 10. Hataki kutapeliwa na kama maelewano yalikuwa ni hayo basi ni lazima yatekelezwe. Kama pesa ingekuwa ndogo hata huyo mpokeaji naona angeikataa...Inawezekana 4,800 Ya Mstaafu ikaonekana ndogo kwa maana vipato vyetu vinatofautiana, Ila tuachane na hcho kiasi tuzungumzie comitment ya huyo dada kwa Mstaafu. Kama mtu mmewasiliana na mkahama na server juu mkafikia makubaliano yenu nje ya Jf Halafu ghafla unakiuka makubaliano na kumpa block Juu huo sio Uungwana hata kidogo.
Kwa maana ilikua ni kias cha kumtaarifu tu nmeshindwa kuja kwa sababu fulan then maisha yaendlee, Why mtu aanike mawasiliano yenu humu Jukwan kwa gharama ya Tsh 4,800?
Hata mimi namuunga mkono na mguu.[emoji3][emoji3] Mi nipo upande wa bidada kwa kweli
Wacha bwana, mbona 'byashala'[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bola angesema haitoshi akairudisha tukaairisha byashala
Ujue hii comment sikuiona[emoji134][emoji134]Nipe namba ya simu nikutumie nauli
Kusema kweli hiyo hela ni ndogo mnooo kuipokea, ila kuitoa hata mimi sitoi[emoji85][emoji85][emoji85]Anaesema hio 4,800 ndogo amrudishie mstaafu thread ifungwe.
Naogopa...kan'tangaze mieeNjoo pm nikutumie nauli alafu usije[emoji85] [emoji85] [emoji85] natest mitambo jaman
Sasa hii nayo pesa? Asee humu hakuna wanaume jamaniNilimtumia 4800
Khaaa jamanNilimtumia 4800
Na kwa staili hii hatuendi kokoteUshauri: Kama hauko tayari kupoteza nauli, ukiombwa nauli mwambie 'tumia yako ukifika nakurudishia na ya kurudia'
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Khaaaaah!!
Shemeji unafikiri kuja rahisi?
Kwa hiyo ndio mkaona mumzike mstaafu hiyo 4800???Na kwa staili hii hatuendi kokote
ππππππππ€£π€£π€£π€£Aisee! Wandaz neva sizi..
Takutumia nyingi ambayo hata nikikutangaza roho haiumiNaogopa...kan'tangaze miee
Aaaaaaa ndio dharau zako hizo sio???Sasa hii nayo pesa? Asee humu hakuna wanaume jamani
Nimetania tu[emoji5]Aaaaaaa ndio dharau zako hizo sio???
Haya changishaneni mumrudishie kanali 4800 yake msizuge hapaNimetania tu[emoji5]