kamandamakini
Senior Member
- Feb 17, 2012
- 165
- 137
Akina mama wa Mtwivila wakijipanga kununua kadi za CHADEMA Iringa jana.
Source: Mbunge Wako Iringa Mjini
Source: Mbunge Wako Iringa Mjini
una uhakika gani huo mstari ulikuwa wa kwenda kununua kadi na sio kugawiwa sukari? lete picha wakipokea kadi!!
una uhakika gani huo mstari ulikuwa wa kwenda kununua kadi na sio kugawiwa sukari? lete picha wakipokea kadi!!
Mkuu inaelekea una wivu, ulitaka uliwe wewe?...Iringa mjini mmeliwa ile Mbaya!
Akina mama wa Mtwivila wakijipanga kununua kadi za CHADEMA Iringa jana.
Source: Mbunge Wako Iringa Mjini
Kazi ya Mbunge ni kugawa kadi! Iringa mjini mmeliwa ile Mbaya! Hamna Mbunge kabisa!
Kumbe kwa miaka mingi wabunge wa magamba wamekuwa wakifanya kazi isiyo yao... loooo uoga nao una kazi kweli kweli..Kazi ya Mbunge ni kugawa kadi! Iringa mjini mmeliwa ile Mbaya! Hamna Mbunge kabisa!
una uhakika gani huo mstari ulikuwa wa kwenda kununua kadi na sio kugawiwa sukari? lete picha wakipokea kadi!!
Akina mama wa Mtwivila wakijipanga kununua kadi za CHADEMA Iringa jana.
Source: Mbunge Wako Iringa Mjini
vip umeogopa?
Akina mama wa Mtwivila wakijipanga kununua kadi za CHADEMA Iringa jana.
Source: Mbunge Wako Iringa Mjini
Kazi ya Mbunge ni kugawa kadi! Iringa mjini mmeliwa ile Mbaya! Hamna Mbunge kabisa!