Patriote
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 1,718
- 1,047
Wewe unashangaa hiyo wakati ni juzi tu Bilal alikuwa anapokea kadi za mwanaCDM tena ktk ziara ya kitaifa, je ni kazi yake hiyo??Kazi ya Mbunge ni kugawa kadi! Iringa mjini mmeliwa ile Mbaya! Hamna Mbunge kabisa!