MWANAWAVITTO
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 258
- 220
CDM inatambaa kama chopa ya NDESA-PESA
Inaonekana wanawake wamehamasika! Isije ikawa ni kwenye mahubiri ya kiroho!
Taarifa za uhakika nilizo nazo hizo kadi ziligawiwa bure wala hazikuuzwa na mgawa kadi ndiye mleta huu uzi. Kama kweli ziliuzwa watuambie ni kadi ngapi waliuza na ziliingiza shilingi ngapi? Wanawake wote waliokuwepo kwenye mkutano huo walipewa kadi bure hawakununua!! CDM hizi propaganda za kusema uongo na kukuza mambo mmeanza lini?
Hizi ndizo kazi zinazotakiwa kufanywa na mwanasiasa anayetaka mafanikio,kuna wengine wanasena eti wao wanafanya kazi kwa siri kwani siasa imekuwa biashara ya gongo? kesho na kesho kutwa Msigwa akiwa mkurugenzi mnaanza ohh analundikiwa vyeo,
Uenyekiti haupimwi hivyo unaweza kuwa konda mzuri ukashindwa udereva.Huyu mbunge ni moja kati ya vichwa nadani ya Chadema, na si dhani kama kuna mbunge mwingine kwa waliopo wa chedema wakuweza kumfananisha na huyu.
Jamaa anafaaa sana kuwa hata mwenyekiti wa Chama Taifa