Hii simu ndogo ya tochi inatubeba sana

Hii simu ndogo ya tochi inatubeba sana

Sala yangu na ipae mbele yake Bwana

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Enzi zangu naishi na wife tukiwa wachumba nilikua nacho kimoja kilikua kinashinda ndani ya motokaa tu hakikuwahi kuingia ndani na kilikua kwenye silent mode sasa siku moja nikajisahau nafika getini nnacho mfukoni na bibie ndio anafungua mlango nilipiga sarakasi ya ghafla mpaka najiuliza kwa nini sijashiriki mashindano ya Olympic maana kipaji kumbe nnacho sio kwa msarakasi ule duh ila baada ya kuoa sijapigiwa hata tarumbeta nimeacha ule wehu mwenyewe mpaka nahisi kamati ya ufundi inahusika.
 
Enzi zangu naishi na wife tukiwa wachumba nilikua nacho kimoja kilikua kinashinda ndani ya motokaa tu hakikuwahi kuingia ndani na kilikua kwenye silent mode sasa siku moja nikajisahau nafika getini nnacho mfukoni na bibie ndio anafungua mlango nilipiga sarakasi ya ghafla mpaka najiuliza kwa nini sijashiriki mashindano ya Olympic maana kipaji kumbe nnacho sio kwa msarakasi ule duh ila baada ya kuoa sijapigiwa hata tarumbeta nimeacha ule wehu mwenyewe mpaka nahisi kamati ya ufundi inahusika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeniacha hoi hapo kwenye kamati ya Ufundi

Swahiba kamati za ufundi zipo ujue,siku hizi hata niwe nimesafiri siwazi kabisa kulizua yaani nahisi kama ananiona au ananivizia kwa kifupi kama namuona ivi sasa hapo si kamati hii nimekaliwa.
 
[emoji3] [emoji3] nimeenda kijiweni sijakukuta nikasema lzm nikukute hukuu ukitafuta michepuko[emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mchepuko lazima nawekeza siku unikimbia tu nawahi kwa mchepuko unichemshe vizuri[emoji39] [emoji39] [emoji39]
 
Back
Top Bottom