Hii simu ndogo ya tochi inatubeba sana

Hii simu ndogo ya tochi inatubeba sana

Hii simu ndogo ina shughuli kubwa na ya msingi sana kwa wale walioamua kuficha mawasiliano yasiyo rasmi kwa watu ambao wako kwenye mahusiano.

Mwanamke akitaka kupekua matumizi ya simu, hukimbilia ile kubwa (smartphone) akiamini matumizi mabaya hupatikana kwenye simu kupitia mitandao ya kijamii. Ataiacha ile ndogo akijua hamna kitu.

Kwa utafiti wangu, nimegundua walio wengi, kila mwenye simu kubwa ujue ana kisimu kidogo ambacho kinatumia line zaidi ya nne, akiwa kitaa kuna line zinatumika ambazo hata nyumbani mwenza wake haijui kabisa.

Simu ndogo zinazibeba ndoa nyingi, ndicho nilichokiona.
Asanteh kwa taarifa, ngoja nikafanye majaribio ya kuipekuwa hiyo simu ndogo yake.
 
Sio kila siri ni ya kutoa hadharani ushaharibu hujui tu.
[emoji51] [emoji51] [emoji51] sasa wa kumuogopa nani sasa, hao viumbe nao wanahusika na hili.... Halina mwenyewe hili mkuu,.. Hata ukiona mkeo ana kisimu cha tochi, jua hilo!
 
mnahangaika kama nguvu zenyewe mnazo basi! hata uache kitochi utumie s. l. p mnajichosha tu ni bora ubaki na mmoja ukijichanganya na visupu vyenu vya pweza umpe kashoo ka kichovu
 
mnahangaika kama nguvu zenyewe mnazo basi! hata uache kitochi utumie s. l. p mnajichosha tu ni bora ubaki na mmoja ukijichanganya na visupu vyenu vya pweza umpe kashoo ka kichovu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] tutake radhi!
 
Hii simu ndogo ina shughuli kubwa na ya msingi sana kwa wale walioamua kuficha mawasiliano yasiyo rasmi kwa watu ambao wako kwenye mahusiano.

Mwanamke akitaka kupekua matumizi ya simu, hukimbilia ile kubwa (smartphone) akiamini matumizi mabaya hupatikana kwenye simu kupitia mitandao ya kijamii. Ataiacha ile ndogo akijua hamna kitu.

Kwa utafiti wangu, nimegundua walio wengi, kila mwenye simu kubwa ujue ana kisimu kidogo ambacho kinatumia line zaidi ya nne, akiwa kitaa kuna line zinatumika ambazo hata nyumbani mwenza wake haijui kabisa.

Simu ndogo zinazibeba ndoa nyingi, ndicho nilichokiona.
Mkuu mbona unaharibu mpango mmzima wa chocho zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom