Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,739
- 5,980
- Thread starter
- #61
Hahahaaah,... Uko vzr.... Na hiyo haileti mgogoro kabisaaa... Safiii!Enzi zangu naishi na wife tukiwa wachumba nilikua nacho kimoja kilikua kinashinda ndani ya motokaa tu hakikuwahi kuingia ndani na kilikua kwenye silent mode sasa siku moja nikajisahau nafika getini nnacho mfukoni na bibie ndio anafungua mlango nilipiga sarakasi ya ghafla mpaka najiuliza kwa nini sijashiriki mashindano ya Olympic maana kipaji kumbe nnacho sio kwa msarakasi ule duh ila baada ya kuoa sijapigiwa hata tarumbeta nimeacha ule wehu mwenyewe mpaka nahisi kamati ya ufundi inahusika.