Hii shule kwa sasa imepata umaarufu sana! Ni mwanasiasa gani kasoma hapo?

Musoma Yetu

JF-Expert Member
Mar 11, 2016
2,633
2,297
Hii shule kwa ufupi imetamkwa Mara nyingi sana. Kiukweli imebidi niitembelee maana ghafla imeingia historia ya nchi kwa mwanasiasa mmoja mashuhuri ambae anaongoza kutajwa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii. Ila tuwe tunakumbuka tuliko toka, maana mazingira ya shule pia yamechakaa sana. Ile pesa ya ukarabati ule kwenye ofisi ya CCM ingekuja hapa, hata mazingira ya kusomea yangevutia zaidi na ufaulu kuongezeka zaidi.
 

Attachments

  • proxy.jpg
    proxy.jpg
    66.2 KB · Views: 35
Haahaaahaaa, hii ndiyo shule ya bashite!!! Imechakaa sana na nahisi alikuwa hana mpango wala kufikiria kupafanyia jambo
 
Naona bashite amekuwa kimya matamko yamepungua na vyeti feki uhakiki haupo tena
 
Hapo ndipo aliposoma Mhalifu wa Taaluma RC wa Dsm Daudi Bashite ambae baada ya kufeli form four kwa kupata ZERO akanunua vyeti na kubadilika jina gafla kuwa Paul Christian Makonda.
 
Back
Top Bottom