mr rogo
Member
- Jul 27, 2017
- 51
- 33
Bunge Live na bashiteMikataba ipi imevujwa na serikali kwa kukurupuka?
Bunge Live na bashiteMikataba ipi imevujwa na serikali kwa kukurupuka?
Hahaha hahaha mwingu lo damu ya lissu inakutafuna hahaha hahaha albadiri inafanya KaziSerikali haikurupiki katika mipango yake kama unavyotaka wewe
Kwa hiyo kumbe suala la ugombozi wa ndege sio muhimu tena mkuu? Kipaumbele chenu ni kipi sasa hv?Serikali haikurupiki katika mipango yake kama unavyotaka wewe
unaongea pumba kama umekunywa virobaSerikali yetu imekuwa na tambo nyingi kwamba ina mahela mengi mno,lakini tangu bombadia ikamatwe,zaidi ya miezi miwili sasa,serikali hii imeshindwa kulipa vibilioni vichache tu kuikomboa
Sasa je mkakati wetu wa kuwa DONA kantri(may be unga wa dona)utafanikiwa?
Mkuu upo dumia hii au? tumia muda wako kusoma au kuuliza kabla ya kujimwaga huku.Mikataba ipi imevujwa na serikali kwa kukurupuka?
Wew ni msemaji wa serikali ?Serikali haikurupiki katika mipango yake kama unavyotaka wewe
Umeandika nini?Hahaha hahaha mwingu lo damu ya lissu inakutafuna hahaha hahaha albadiri inafanya Kazi
Swissme
Kaiulize serikaliWew ni msemaji wa serikali ?
Unachokiamini sicho! Hakuna sehemu serikali ya Tz imekurupuka katika kuvunja mkataba. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungekuja na fact sio kulalama tu.Mkuu upo dumia hii au? tumia muda wako kusoma au kuuliza kabla ya kujimwaga huku.
Hukumu
Kulipa deni kunahitaji mikakati gani ya ziada??Serikali haikurupiki katika mipango yake kama unavyotaka wewe
Deni la serikali sio kama deli la kukopa nyanya gengeni kwa mangi. Pesa ya serikali haitoki mpaka pale inapofanyiwa mchakato rasmi, mbali na bajeti yake ya kulipa madeni kila mwaka. Serikali haitoi pesa kulipa deni isipokuwa tu kama malipo hayo ya deni yapo kwenye bajeti.Kulipa deni kunahitaji mikakati gani ya ziada??
Acha uzwazwa.a