Marathon day
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 604
- 942
Acha taarifa zako kwa jirani.Yani sensa nimeamka tangia saa 12 asubuhi najua watafika fasta nisepe zangu, familia Iko Mkoa na Mimi nipo pekeyangu home, kifatacho ikifika saa 6 kamili mchana nafunga mlango na mageti nasepa kwenye mishe zingine! Nawaza niandikie number za simu getini? Tatizo vishkwambi vyao vimewezeshwa na talk time? Hii naona itakua changamoto kwa watu wengi
Sasa wakikuja itakuwajeHee watu mko na uzalendo
Yan unakwamisha mishe zako kisa sensa? Si watakuhesabu huko huko ulipo?
Nimeamka kuoga, na kurudi tena kulala
Uko na nani!??Hee watu mko na uzalendo π€£
Yan unakwamisha mishe zako kisa sensa? Si watakuhesabu huko huko ulipo?
Nimeamka kuoga, na kurudi tena kulala
πππππ tulia mkuuUko na nani!??
RizikiNenda Katafute Ridhiki
Makarani wakija na hii mvua inabidi wakaribishwe ndaniNa hii mvua mmmmmgh
Inategemea yukoje?!! πMakarani wakija na hii mvua inabidi wakaribishwe ndani
Ana taqo na mguu wa bia π€£π€Έπ»ββοΈπββοΈInategemea yukoje?!! π
Sijui kama naamka mieSasa wakikuja itakuwaje
Vile vidude sijui ni waterproof.Na hii mvua mmmmmgh
Reception inaongeaInategemea yukoje?!!
Tatizo maswali mengi 100+Pole sana, mimi ndio ninaamka.. itakuwa walishapita huku sikuwasikia.