Mallerina amekuja hata kunishtua kweli, sio vizuri hivyo 😞Ila mabinti mna ujasiri, mtu mmejuana miezi minne tayari umembebea mimba, na kwao hupajui na kazi yake ni photographer wa kibongo (katika uongo wote kachagua hiyo ndiyo iwe profession yake 🤦♀️)
Saa nyingine matukio kama haya huwa mnastahili tu, acha huyo Medina naye ajifunze jambo, hatarudia huu ujinga!
Akibahatika kuwa single mother atarudia tu.Ila mabinti mna ujasiri, mtu mmejuana miezi minne tayari umembebea mimba, na kwao hupajui na kazi yake ni photographer wa kibongo (katika uongo wote kachagua hiyo ndiyo iwe profession yake 🤦♀️)
Saa nyingine matukio kama haya huwa mnastahili tu, acha huyo Medina naye ajifunze jambo, hatarudia huu ujinga!
Daaah, sasa itakuwaje😀Mallerina amekuja hata kunishtua kweli, sio vizuri hivyo 😞
kumbe kijana ni yatima kwanzia mwaka 2004 alipoteza wazaziIla mabinti mna ujasiri, mtu mmejuana miezi minne tayari umembebea mimba, na kwao hupajui na kazi yake ni photographer wa kibongo (katika uongo wote kachagua hiyo ndiyo iwe profession yake 🤦♀️)
Saa nyingine matukio kama haya huwa mnastahili tu, acha huyo Medina naye ajifunze jambo, hatarudia huu ujinga!
Kijana Alidanganya baada ya maisha kumrudisha nyuma kifedhaMimba asitoe ni dhambi kubwa kuuwa mtoto asiye na hatia
Ila namhurumia sana kapewa mimba na mwizi wa tv
Wadada mpendeni MUNGU mwomben MUNGU awajalie macho ya rohoni lakin pia achen kupenda fake life na unapoamua kufake life ndo unajikuta unaangukia mikonon mwa fake boy
Pole yake sana
Mimi mwenyewe hapa maisha yangu magumu lakin siwezi fikia hatua ya kuiba mpaka tv na kudanganya maisha yangu
Kijana kakubali kulea ila maisha hayamfavor badoMwambie azae kama anajiweza maisha ndio haya hayaa wewe unasex na hujajipanga wanaume wa leo wao ni mimba tu wanaweka na wanasepa .
Halafu jingine mie nimewakataa nadeal na maisha yangu .
Akija mtu anayejitambua basi tunakuwa wana tunalea . Wanaume waleo wanakukula na kukuzalisha ila hela hana .
Ila mtoto atakuwa atakuheshimisha na watoto ni baraka . Na utafurahia kuwa mzazi ni kazi ila maisha ni haya haya .
Unakubalije kulea na hana kazi inayoeleweka hapo ni mama ndio atailea mimba bahanaKijana kakubali kulea ila maisha hayamfavor bado
Binti wa zamani anajua nilivyokukumbuka nikwambia ukija anishtue,NImekushtuaje dosho
Mi mzima, siku nyingine uwe una niaga angalau nijue umeondoka vizuri😎Mzima ww je
asitoe ndo samuya wakesho avumilie kama ilivyovumiliwa mikunjoo na ahadi uchwara kedekedeMwambie afanye maamuzi magumu la sivyo ajiandae kuchakaa….labda Kama ana kibarua