Nina rafiki yangu ambaye
tumeshibana sana. Lakini anapenda sana kumletea zawadi kwa siri mchumba
wangu na baada ya hapo mchumba wangu ananishirikisha, na ananihakikishia
kwamba hajawahi ombwa papuchi na hata akiomba hatamkubalia. Pia mchumba
wangu ananisihi sana nisije kumuuliza rafiki yangu juu ya hizo zawadi
ili yeye asiwe chanzo cha kutugombanisha.
BAADHI YA ZAWADI ALIZOWAHI KUMLETE.
viatu, chen, walet, vocha za mara kwa mara, nguo za nje na ndani, na
simu aina ya huawei y330.
Sasa najiuliza kuna usalama kweli hapo? Kwanini rafiki yangu ampe
mchumba wangu zawadi tena kwa siri? Na kwanini mchumba wangu
ananishirikisha?
Nina rafiki yangu ambaye tumeshibana sana. Lakini anapenda sana kumletea zawadi kwa siri mchumba wangu na baada ya hapo mchumba wangu ananishirikisha, na ananihakikishia kwamba hajawahi ombwa papuchi na hata akiomba hatamkubalia. Pia mchumba wangu ananisihi sana nisije kumuuliza rafiki yangu juu ya hizo zawadi ili yeye asiwe chanzo cha kutugombanisha.
BAADHI YA ZAWADI ALIZOWAHI KUMLETE.
viatu, chen, walet, vocha za mara kwa mara, nguo za nje na ndani, na simu aina ya huawei y330.
Sasa najiuliza kuna usalama kweli hapo? Kwanini rafiki yangu ampe mchumba wangu zawadi tena kwa siri? Na kwanini mchumba wangu ananishirikisha?
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:Sema chochote mchepuko wangu. .
:A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek::A S-eek:
it was ready happened.
Rafiki kuleta zawad kwa siri kwa mchumba wako hapo kat kuna connection ambayo huijui!!! Hebu ashtuke tu halaf huyo dada mzima.kweli naona anapokea tu zawad asijue kupokea tu ajue na kutoa huko kukushirikisha kusikutie shaka anataka ajihami mapema likimbumburukia hilo boom lake la kishuzi shuzi
mmmh na mi nataka nkuletee zawadi...
Ahhha isiwe kwa sir leta dhahiri nae pia aone
aah ataona wivu akukataze kupokea sasa!!! we utamwambia umevinunua
Huyu wangu hadanganyiki hata atajua tu nimehongwa maneno ake ntakosa pa kuyaweka
Mkuu ukiona manyoya ujue kaliwa kuwa makini na huyo rafiki yako.Nina rafiki yangu ambaye tumeshibana sana. Lakini anapenda sana kumletea zawadi kwa siri mchumba wangu na baada ya hapo mchumba wangu ananishirikisha, na ananihakikishia kwamba hajawahi ombwa papuchi na hata akiomba hatamkubalia. Pia mchumba wangu ananisihi sana nisije kumuuliza rafiki yangu juu ya hizo zawadi ili yeye asiwe chanzo cha kutugombanisha.
BAADHI YA ZAWADI ALIZOWAHI KUMLETE.
viatu, chen, walet, vocha za mara kwa mara, nguo za nje na ndani, na simu aina ya huawei y330.
Sasa najiuliza kuna usalama kweli hapo? Kwanini rafiki yangu ampe mchumba wangu zawadi tena kwa siri? Na kwanini mchumba wangu ananishirikisha?