Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Mkuu watu huwa wananunua hata gazeti la uhuru, lakini sio kwa ajili ya kulisoma, bali ni kwa ajili ya kupigia magari rangi.
Misukule mnapata tabu sana haya gaweni na nyie bavicha (Baraza la vichaa chadema)
 
Hawa jmaa na waongo. Alcohol haiwezi kuwa 80% +. Sababu pure alcohol mfano ethanal haizidi 90% alafu apo hujaweka geli ambayo kwenye mchanganiko inatakiwa iwe 50%.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, inawezekana ulifunzwa kemia na mwalimu wa voda fasta.. Yani kabla haijachanganywa kutengeneza hiyo gel, Alcohol iliyowekwa humo ina mchanganyiko wa 80% huku 20% ikiwa ni maji...
 
Mali ya Jack Ma wa Alibaba hio. Wamebandika karatasi yao..ni aibu


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Pombe 80% sio mchezo, Wanatabiri tukio fulani hapo. 😎
 
Mkuu watu huwa wananunua hata gazeti la uhuru, lakini sio kwa ajili ya kulisoma, bali ni kwa ajili ya kupigia magari rangi.
Malengo ni mawili, kueneza propaganda na sera ila pia kuongiza kipato ili kutunisha mfuko na kuwezesha malengo na mikakati.
Kwa hiyo kama wananunua tu bila kusoma, ili mradi wanatunisha mfuko, vizuri sana, wanawezesha ktk kufanikisha malengo na mikakati.
Endeleeni kununua na kutumia kupiga rangi mkuu, good move!
unamuwezesha mpinzani wako wewe mwenyewe alafu unajiuliza kwa nini kifedha anakuzidi, hii ndio BAVICHA mkuu.
 
Malengo ni mawili, kueneza propaganda na sera ila pia kuongiza kipato ili kutunisha mfuko na kuwezesha malengo na mikakati.
Kwa hiyo kama wananunua tu bila kusoma, ili mradi wanatunisha mfuko, vizuri sana.
Huku nilipo yanauzwa kwa kilo 1 sh. 300.
 
Mi CCM ilitaka ugonjwa ueneee itugeuze fursa!; sijui mtamuuzia pimbi gani!
 

Attachments

  • IMG-20200419-WA0097.jpg
    IMG-20200419-WA0097.jpg
    11.3 KB · Views: 13
Back
Top Bottom