Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Mkuu, inawezekana ulifunzwa kemia na mwalimu wa voda fasta.. Yani kabla haijachanganywa kutengeneza hiyo gel, Alcohol iliyowekwa humo ina mchanganyiko wa 80% huku 20% ikiwa ni maji...
Huhitaji elimu ya kemia kuelewa hii simple math. Sanitizer sio alcohol ni combination ya vitu mbalimbali ambavyo vya msingi ni alcohol na geli. Sasa unapataje 80% ya alcohol kwenye sanitizer yenye 50% geli?????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom