Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Hii Sanitizer ya UVCCM ni ya kuamini kweli?

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,513
Reaction score
8,276
IMG_20200419_193422.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona umeinunua mbona..
...vyama vyetu vya siasa vimeonyesha dharau
ya hali ya juu kusaidia wananchi katika janga kubwa Kama hili huu ndo ulikuwa wakati wakutengeneza barakoa kwa wingi hata kwa nembo za vyama vyao na kuwagawia wananchi ili kuwanusuru na maambukizi wao wanawaza kampeni zifike watuletee misharti na mikofia ya nembo ya vyama vyao itatusaidia nini iyo mijezi yenu wakati sasa wananchi wanaangalia kwakukosa nyenzo za kujikinga..
 
CCM Wana laaana sio bure hizi sanitizer zinadoda kama gazeti Lao la Uhuru
Soma Vizuri hiyo Jingo
Hizo zinatolewa kama msaada/Hisani yaaani for Donation, zinaanzaje kudoda kwa mfano. Nendeni Shule mpunguze upu-mbavu vichwani.
 
Soma Vizuri hiyo Jingo
Hizo zinatolewa kama msaada/Hisani yaaani for Donation, zinaanzaje kudoda kwa mfano. Nendeni Shule mpunguze upu-mbavu vichwani.
Misukule ya mtaa wa ufipa ni shida kitu kinatolewa bure nakapata bure basi nenda kachukue ya bavicha
 
Back
Top Bottom