donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Ni ngoma flani laini iko fresh tu lakini nimechoka pale Jux ule mstari anasema:
"Vanessa wanini we don't talk talk, sitaki shobo nishablock block"...
Hapa naona kama hakutumia hekima kwa maana kama r/ship yao iko over na Vee Yuko na yule mwamba Rotimi sijui, na yeye afanye yake. Anyways Ni ngoma nzuri.
"Vanessa wanini we don't talk talk, sitaki shobo nishablock block"...
Hapa naona kama hakutumia hekima kwa maana kama r/ship yao iko over na Vee Yuko na yule mwamba Rotimi sijui, na yeye afanye yake. Anyways Ni ngoma nzuri.