Hii itakuwa aliipata katika tukio lile lililomfukuzisha ualimu.Hiyo nundu inaashiria nini?
Gurudum, kama unaijua photoshop, pale hakuna kazi yoyote ya photo shop, pichas imepigwa na amacha, aliyecrop amecrop vibaya. Thats all.Angalia vizuri mkuu wameichakachua kwa kutumia photoshop wakaiharibu