Hii picha mmmh

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,948
710
Nimejaribu kuangalia hii picha kwa ukaribu bado sijapata jawabu. Kuna mtu alikuwa anapata busu ya mkono?
Angalia kisha toa maoni.

8E9U5013.jpg
 
Sometimes ukiwa zee unaweza kuwa kama mtoto...Hapo ni kweli anampa baraka za Eid kwa busu pete ili kuondoa mikosi yote wakati wa kampeni
 
Nimeona ila sijaelewa mantiki ya pix kuwekwa hapa?
someone explain to me pls
 
Hii ni salamu ya kawaida kwa waislamu walio marafiki kwa kila mmoja kubusu mkono wa mwingine mara nyingi kwenye sikukuu au sherehe nothing unusual.
 
busu mkononi.. sometimes upande wa kulia na kushoto wa shavu ni salamu za kawaida kwa waislam:becky:..
 
Mambo usiyoyajua yatakusumbua. Hebu waache waislamu na utamaduni wao. Hili ni jambo la kawaida. Salamu kwa mmarafiki na watu waliohibana na wanaopendana.
 
busu mkononi.. sometimes upande wa kulia na kushoto wa shavu ni salamu za kawaida kwa waislam:becky:..

8E9U5013.jpg


Kama ni sometimes kwa nini wale wazee wawili - wa pili na tatu kutoka kushoto wamepigwa na butwaa!
 
Inawezekana sheikh yahaya alimtuma kumpa uchawi aliomwahidi kikwete...............
 
Hii picha na yenyewe wangeweka katika mabango yao ya CCM, kwa muonekano huyu bwana mkubwa huo mkono wake wa kulia kama unamatatizo mara nyingi sija muona akipeana mikono na watu akisimama sawa sawa lazima akae upande, na katika picha hii ukiangalia kama vile alikua anaugulia maumivu na akijaribu kuutoa mkono wa Ruksa kwa mkono wake wa kushoto.Lakini Mungu amesema salimianeni kwa kupeana mikino hakika mikono inabaraka nyingi ndani yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom