mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,818
- 106,000
Hata town Kwa Sisi tuliyokulia uswazi tumecheza sana huo mchezo....labda wee huko kwenu kulikuwa ushuwaniMisijawahi kuishi bush mkuu
OVA
Hata town Kwa Sisi tuliyokulia uswazi tumecheza sana huo mchezo....labda wee huko kwenu kulikuwa ushuwaniMisijawahi kuishi bush mkuu
kwenye kukata kona na kurudi reverse ndio balaaaDereva anakowapeleka nyote mnamfuata huko huko
Mkuu umedandia tingatinga la kushindilia rami kwa mbele........unajua mada imeanzia wapi.????????Hata town Kwa Sisi tuliyokulia uswazi tumecheza sana huo mchezo....labda wee huko kwenu kulikuwa ushuwani
OVA
Mkuu umedandia tingatinga la kushindilia rami kwa mbele........unajua mada imeanzia wapi.????????
Nilisema kweli Juma ponda mali kaja juzi mjini.....hii michezo tumecheza kitambo sana town yeye ndo anaicheza Leo.......kweli wa juz town....
Alafu umaskini sio kitu cha kujivunia hata kidg ndomaana mnarithishana na wenenu unaona kuwa kupitia maisha ya umaskini dili......acha uboya dogo...pigana uondoe umaaikini wa fikra...wote tumeishi hilo life ila sio ndo kwamba niwe najiona eti ni dili...ishapita jenga future ya wanao kipusa wewe hujielewi
Mkuu taratibuMkuu umedandia tingatinga la kushindilia rami kwa mbele........unajua mada imeanzia wapi.????????
Nilisema kweli Juma ponda mali kaja juzi mjini.....hii michezo tumecheza kitambo sana town yeye ndo anaicheza Leo.......kweli wa juz town....
Alafu umaskini sio kitu cha kujivunia hata kidg ndomaana mnarithishana na wenenu unaona kuwa kupitia maisha ya umaskini dili......acha uboya dogo...pigana uondoe umaaikini wa fikra...wote tumeishi hilo life ila sio ndo kwamba niwe najiona eti ni dili...ishapita jenga future ya wanao kipusa wewe hujielewi
Kwani amekwambia kwa sasa yeye ni masikini?..Mkuu umedandia tingatinga la kushindilia rami kwa mbele........unajua mada imeanzia wapi.????????
Nilisema kweli Juma ponda mali kaja juzi mjini.....hii michezo tumecheza kitambo sana town yeye ndo anaicheza Leo.......kweli wa juz town....
Alafu umaskini sio kitu cha kujivunia hata kidg ndomaana mnarithishana na wenenu unaona kuwa kupitia maisha ya umaskini dili......acha uboya dogo...pigana uondoe umaaikini wa fikra...wote tumeishi hilo life ila sio ndo kwamba niwe najiona eti ni dili...ishapita jenga future ya wanao kipusa wewe hujielewi
Halafu kuna wakati 'gari' inayumba, na nyie abiria mnayumba accordinglyHahaha dereva wa hiyo kamba anakata kona kokote atakako yeye na hata kamba ikikatika yeye ataendelea tu kuendesha na kujifanya haoni kama kamba imekatika.
Mie sijawahi kuishi kijijini, sijui kijiji hata kimoja maisha yake yakoje, lkn huo mchezo tumecheza. Au wewe ni wa kizazi ya video games....!Misijawahi kuishi bush mkuu
Anamjua. Nimejicheki silioni, mimi siko hivyo. Ndio siasa ilivyo.Ha ha ha kipanya ametisha.
ndo kinachetokea soonna ile kamba ikakatika dereva anabaki anavuta kamba nyepesiii kazi ya kuunda bus inaanza tena.
Mkuu......Wewe unakumbuka nini ukiona picha hii
Nahisi ni yeyeHivi huyo anayeendesha siyo Yohana Makomeo kweli? Au ni macho yangu?
Masoud hana akili! daaaah!Wewe unakumbuka nini ukiona picha hii
Haaa... Kweli aiseeHalafu Masoud tokea atajwe siku ile, anazidi kukiongeza ukubwa hiko kichwa cha "mtukufu" prez wetu.