Ukitembea nchi za watu kisha ukaja Tanzania ukajiuliza sisi ni masikini hadi akili.Imepostiwa na Page ya club ya Al Ahly katika kurasa zao je? Ina shida Gani! View attachment 2947733
Kwenye majiji yote ya Tz kuna Slums kama hizo.Nilivyowaza lengo Lao ni kuonesha namna gani tulivyokithiri kwenye umasikini wa kutupwa
Kwan Tanzania kwa afrika tunapitwa na nchi gani kwa maendeleo ukitoa South Africa Nigeria na nchi za kiarabuUkitembea nchi za watu kisha ukaja Tanzania ukajiuliza sisi ni masikini hadi akili.
Uwanja wa Taifa umezungukwa na mabanda umiza, nyumba zisizo na hadhi kukaa mjini.
Lengo Lao kutuaibisha hivyo vijumba vyenye kutuImepostiwa na Page ya club ya Al Ahly katika kurasa zao je? Ina shida Gani! View attachment 2947733
YeahNilivyowaza lengo Lao ni kuonesha namna gani tulivyokithiri kwenye umasikini wa kutupwa
BotswanaKwan Tanzania kwa afrika tunapitwa na nchi gani kwa maendeleo ukitoa South Africa Nigeria na nchi za kiarabu
Kulikuwa na haja Serikali ikaenda kuzinunua hizo nyumba KUU KUU kisha kujenga za Kisasa walau kuupa hadhi uwanja wetu wa TaifaUkitembea nchi za watu kisha ukaja Tanzania ukajiuliza sisi ni masikini hadi akili.
Uwanja wa Taifa umezungukwa na mabanda umiza, nyumba zisizo na hadhi kukaa mjini.
Wawekezaji wanadai wananchi wamekua jeuri na wananchi wanadai wawekezaji ndo viburi. Hapa wanashindwana kwenye thamani ya viwanjaKwenye majiji yote ya Tz **** Slums kama hizo.
Serikali inabidi ije na mpango wa kuziondoa na kuruhusu wawekezaji wajenge majengo mazuri
Hahahaaa, hapo kweli lazima watataka kupewa cha juuuWawekezaji wanadai wananchi wamekua jeuri na wananchi wanadai wawekezaji ndo viburi. Hapa wanashindwana kwenye thamani ya viwanja
Kuna mmoja hapo tulienda kuulizia eneo akataka 1.2B kwa eneo dogo tu hii inapelekea wawekezaji kupaachaHahahaaa, hapo kweli lazima watataka kupewa cha juuu
Kama eneo potential haina shidaKuna mmoja hapo tulienda kuulizia eneo akataka 1.2B kwa eneo dogo tu hii inapelekea wawekezaji kupaacha