Hii picha Ina tatizo gani

Toto mol

JF-Expert Member
Oct 18, 2022
2,404
3,566
Imepostiwa na Page ya club ya Al Ahly katika kurasa zao je? Ina shida Gani!
20240329_080347.jpg
 
Kama ulisikia kisa cha shabiki wa Algeria aliyefukuzwa Nchin I Cory coast basi hoja ya Al ahly ipo hapo.
 
Kwenye majiji yote ya Tz **** Slums kama hizo.

Serikali inabidi ije na mpango wa kuziondoa na kuruhusu wawekezaji wajenge majengo mazuri
Wawekezaji wanadai wananchi wamekua jeuri na wananchi wanadai wawekezaji ndo viburi. Hapa wanashindwana kwenye thamani ya viwanja
 
Kwa walioko mikoani kununua kibanda kibovu/ kiwanja chenye kibanda/nyumba mnazoziona hapo miguu ishirini kwa ishirini haipungui milioni 100!
 
images (54).jpeg
akili ndogo za kitanzania zitahisi lengo la ahly nikutudhihaki, lahasha. Wao wamepiga picha ya umbali hata watanzania huwa tunapiga.
Egypt kuna maeneo dhohofu kushinda hapo,
Kuna eneo kama kimara lote hamna nyumba iliyopigwa rangi bali tofali za kuchoma. Though hatufurahii umaskini.
 
Acheni kujihisi, kujishtukia na kujishusha.... kwanini umefikiri wamemaanisha tatizo?
 
Back
Top Bottom