Hiyo inamaanisha mtoto wa kike amekaa juu mafisi wapo chini.... Unaweza kuta lia huyo mtoto wa kike ana njaa maana hatujui hapo juu kakaa muda gani hajapata chakula
Tatizo sio wanaume! Hata uvipeleke boarding na kuvifungia hivi vitoto vya kike, bado vitatoroka na kuwafuata wanaume mtaani! Sasa hapo tatizo ni la nani?
Tatizo sio wanaume! Hata uvipeleke boarding na kuvifungia hivi vitoto vya kike, bado vitatoroka na kuwafuata wanaume mtaani! Sasa hapo tatizo ni la nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.