Inafundisha nini, wewe unaona watu wamejipanga kupga hadi picha ingekuwa ya kushtukiza hapo sawa.
..... ...... .....kutoka maktaba yetu
aliyechuchuma chini ni bwana daudi albeti bashite na aliyesimama ni ridhiwani kikwete
katika moja ya .......
malizieni
Vijana wa siku hizi wana mapungufu ya Afya ya akili ... Yaani hata hilo Ameshindwa kuling'amua. !!!!?Inafundisha nini, wewe unaona watu wamejipanga kupga hadi picha ingekuwa ya kushtukiza hapo sawa.
Dai lazima ampitie ampe gridi ya taifa,huyu jamaa inabidi aambiwe ukweli hasije akaongeza % ya watu wenye ngoma chini kwetu.Yule dada kule nyuma ni nani, Ntuyabaliwe?
Ohooo!!!hatari sana.Dai lazima ampitie ampe gridi ya taifa,huyu jamaa inabidi aambiwe ukweli hasije akaongeza % ya watu wenye ngoma chini kwetu.
Sio arudi shule, bali aachane na fani ya uandishi akomae na fani zingine ndogo ndogo kama kurudishia uzi kwny viatu vilivyofumukaUandishi bado ni shida sana!
Yaani heading na ulichoandika ndani ni kama ardhi Na mbigu!
Rudi shule
Uandishi bado ni shida sana!
Yaani heading na ulichoandika ndani ni kama ardhi Na mbigu!
Rudi shule
Wenye ' akili ' tumemwelewa 100% ila ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' waliotukuka kamwe hawawezi kumwelewa hata kidogo.