Hii picha imenifundisha mengi

eastmea

Senior Member
Jul 28, 2018
159
133
Toa comment yako ulichogundua kwenye hii picha
IMG_20181014_001131_646.jpg
 
Inafundisha nini, wewe unaona watu wamejipanga kupga hadi picha ingekuwa ya kushtukiza hapo sawa.
 
Inafundisha nini, wewe unaona watu wamejipanga kupga hadi picha ingekuwa ya kushtukiza hapo sawa.
Vijana wa siku hizi wana mapungufu ya Afya ya akili ... Yaani hata hilo Ameshindwa kuling'amua. !!!!?
 
Uandishi bado ni shida sana!
Yaani heading na ulichoandika ndani ni kama ardhi Na mbigu!

Rudi shule

Wenye ' akili ' tumemwelewa 100% ila ' Mangumbaru ' na ' Mapopoma ' waliotukuka kamwe hawawezi kumwelewa hata kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom