Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,439
- Thread starter
-
- #121
Fuatilia sredi yangu vizuri mpaka nimejipachika jina la fundi bomba rasmi Leo. Ilikuwa kama water fountain za ulaya zinazorushaga maji ila sikujua wala kujali saana maana tulijifunika shuka langu la kimasahi nililonunua pale kahama baada ya shughuli ya kitaifa kusababisha koki kupasuka na hivyo maji kuleta adha kwa wakazi.Kwa hilo hakumtendea haki demu na wala hakutuwakilisha vizuri wa TZ...plastic cover ingekuwa tapwa tapwa kwa maji km ungegegeda kisawa sawa!
1. Rwanda itakuwa na askari wengi sana.Habari wandugu!
Leo ndio narudi tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.
1. Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari saana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja ba kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.
2. Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.
3. Rwanda ndio nchi pekee ambayo kila raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma.
4. Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.
5. Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.
6. Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani..mtanisaidia tafadhali wandugu.
7. Rwanda kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!
.
Hizo ni assumptions nilizokuja nazo baada ya kusoma hoja za mleta uzi...maana nimeshindwa kuamini kama aliyosema yote yanawezekana kirahisi...Hayo yote ulioyataja hakuna kitu kama hicho. Mimi naijua ile nchi nje ndani.
Hizi chuki na roho mbaya ndo wanyarwanda ziliwacost saana miaka hiyo mpaka Genocide hivyo kwa sasa makovu ya chuki imewafanya wajue thamani ya upendo, kuvumiliana, na kuheshimiana. Nimeliona hili la mapendo likitekelezwa kwa vitendo. Niisafishe ili iweje kagame anipe kamisheni au ubunge kule western province...imbecillic!Hizi ni porojo na propaganda kutaka kuisafisha Rwanda dhidi yetu Tanzania ili ionekane ni watu wema kumbe ni unafiki tu!. Tumeshituka na wewe JPM kuwa makini na hawa Warwanda sio watu wema kabisa!
Ndugu yangu si unajua kwamba waswahili husema za Kuambiwa changanya na zako.1. Rwanda itakuwa na askari wengi sana.
2. Yaelekea Kigali ina wakazi wachache sana. Kila mtu anamjua mtu fulani (kila mtu)?
3. Unamaanisha nini kusema kila raia anavaa nguo za kijeshi? Sasa nini kinatofautisha raia mvaa sare za jeshi na mwanajeshi halisi?
4. Hapa labda ungesema Kwa East Africa au Africa, lakini nina hakika ipo miji mingine duniani yenye sifa hii. Nimekaa mji mmoja US miezi zaidi ya sita bila kuona mfuko wa nailoni, karatasi, ganda la pipi, biskuti wala uchafu wowote barabarani au kwenye viunga
5. Duh! Wimbo wa Pressure wa mwaka 2007? Hawa jamaa walichelewa wapi kuusikia na kuusahau?
6. Mmh! Hii ngoja waje waseme wenyewe akina mchambawima1
7. Sasa ndugu ulitaka akuambieje? Au ndio ile tumeshazoea jibu la "wala, mimi wa kawaida sana, kwani haujaona warembo zaidi yangu..." ili upate pa kuendelezea?
Hizo ni assumptions nilizokuja nazo baada ya kusoma hoja za mleta uzi...maana nimeshindwa kuamini kama aliyosema yote yanawezekana kirahisi...
10,000 dola shilling franc au kwacha.....na piaa specify ni ya nchi gani ioo 10,000Tuliendaga Uganda tukatumia 10,000 bar tukalewa aditukachanganyikiwa
Cover za plastic ni sababu ya kitu inaitwa..."Runkuvya"...wanawake wengi wana squirt mnoo...akifika kileleni..anatoa maji mengi kama mkojo!kuhusu cover za plastic coz ya eneo kubwa la rwanda limetawaliwa na Barid
Binafsi najua ivyo
Kwa takwimu za hivi karibuni nchi ya Rwanda ilikuwa na wakazi si zaidi ya mil 3.Huo mji mkuu wao ni kama mtaa gani kwa Dar? Maana watu wote wanajuana.
Kaaaahhh aya mengine sasaCover za plastic ni sababu ya kitu inaitwa..."Runkuvya"...wanawake wengi wana squirt mnoo...akifika kileleni..anatoa maji mengi kama mkojo!
Nilimdadisi saana huyu jamaa nikajua ni raia anaeuza vocha tu kwani alivaa na kale kakizibao ka MTN.
Ikoje ya watanzania na waganda hii mkuu?
Alaaa kumbe! Sasa ndo nafunguka maana that night ilikuwa ni maji tu kama vita vya maji maji..
I was a plumber that day maana nlikuwa na sababu mbili muhimu moja lilikuwa ni jukumu la kitaifa kuthibitisha kwamba Bongo tunazijua shoo pia. Nyingine ilikuwa mtoto alikuwa mkali kwa hiyo niliona kama golden chance kwa maantiki hizo hapo juu niliazimika kuwa fundi bomba makini for a while maana maji yalikuwa yanatoka uncontrorablly.
Ilikuwa ndo fantasy yangu kugegeda show yenye maji...nlikua naenjoy saana fundi bomba nikiyatekenya maji anavyokakamaa na kurusha kama water fountain.aaha!
Swali la kizushi kwanini watu wengi wanamiliki maji saana kule kwa Kagame?
Now I know...Kumbe plastic cover ndo kazi yake.
Umenikumbusha mkuu kuna kitu flani ambacho sikuzoea kukiona kwa wanawake wa kibongo ila kwa hawa nimekiona nimeshangaa sana asee!Watu wanamiliki maji ni kutokana na iana ya vyakula wanavyokula, hususani ndizi kwa sana.
Pia pindi wakiwa watoto, wazazi na manyanya zao huzikuza antena kwa namna ya kuzivuta vuta na kuzifanya ziwe kubwa. Kwa hiyo vingamuzi vyao ni kama vya DSTV.
Uganda ndio mabingwa wa mawoter, then Tanzania bukoba, Rwanda na kiasi fulani burundi
vipi yule binti wa kagame anapatikana mitaa gani ya kigali nifunge safari nikamsalimie!Habari wandugu!
Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.
Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.
Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!
Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!
Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.
Rwanda ndio nchi pekee ambayo idadi kubwa ya raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma iwe kofia pekee, au suruali, au shati au hata buti na hakuna police wala mjeshi anaehoji wazee wa usalama hawana maneno wao ni ulinzi tu kwa kwenda mbele.Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.
Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.
Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.
Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!
Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!
Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Watu wanamiliki maji ni kutokana na iana ya vyakula wanavyokula, hususani ndizi kwa sana.
Pia pindi wakiwa watoto, wazazi na manyanya zao huzikuza antena kwa namna ya kuzivuta vuta na kuzifanya ziwe kubwa. Kwa hiyo vingamuzi vyao ni kama vya DSTV.
Uganda ndio mabingwa wa mawoter, then Tanzania bukoba, Rwanda na kiasi fulani burundi
basi mpwa usiniache next trip,ili nami nikalalie tugodoro twa nylonSema na kaukurasa kangu hako kavisa Mpwa.
Rwanda kigali ni nchi ndogo na kwa namna nilivyokatembelea nimenasa hayo kwa haraka haraka mpwa.
Nimefika ila kuna dharula imejitokeza that's why nimekuja Mwanza then soon nitarudi nimalizie mautamu.View attachment 394122
hatari sana mkuuHabari wandugu!
Leo ndio narudi Tanzania nikitokea Rwanda kwa ajili ya likizo ya mapumziko kiukweli kuna mengi niliyoyaona na kujifunza nikiwa Rwanda ila nafurahi maana mengi ni mazuri.
Suala la usalama hilo liko wazi kwa kila mmoja Rwanda ndio nchi pekee ambayo nimetembea usiku mnene na Polisi akawa ananifuata nyuma mpaka nikaingia lodge ndo akarudi bila hata kuniharass wala kunisemesha. Mfumo wao wa doria ni hatari sana. Wanakuwa askari kadhaa kwenye Gari then wengine wanatembea kwa miguu wakiachiana hatua kama tano tano single file. Ajabu guest niliyofikia kulikuwa na makahaba wengi jirani yake pamoja na kapub ila polisi wanawalinda kwa adabu na nidhamu kubwa.
Rwanda ndio nchi pekee ambayo pombe yake maarufu Primus inaujazo mkubwa sana hivyo ni kawaida sana mtu akakusalimia na akapiga funda kadhaa then akaondoka, nimeona wapenzi wengi wakishare liprimus limoja na hakuna shida. Hii imeongeza umoja na upendo miongoni mwao yaani Rwanda kuna love mpaka unaogopa sijui sababu wana makovu ya chuki na vurugu ndo maana wanaheshimu sana amani. Upendo na kuheshimiana pia kuvumiliana maana nimetembea kwenye bar na pub sijakuta watu wakirushiana maneno makali au kupigana hapana! Its peace!
Rwanda ndo nchi pekee ambayo salam ya hi! Jibu lake ni fine!
Rwanda ndio nchi pekee ambayo mji mkuu kila mtu anamjua mtu Fulani. Watu almost wote wanajuana mji mkuu.
Rwanda ndio nchi pekee ambayo idadi kubwa ya raia anavaa nguo zinazofanana na za kijeshi na hakuna noma iwe kofia pekee, au suruali, au shati au hata buti na hakuna police wala mjeshi anaehoji wazee wa usalama hawana maneno wao ni ulinzi tu kwa kwenda mbele.Kuna time nlikutana na jamaa mchana kuanzia cap mpaka boot ni la jeshi afu jamaa anauza vocha stendi ya bus. Ahahahaha.
Rwanda ndio nchi pekee ambapo Polisi na jeshi wanashika doria za usiku na mchana.
Rwanda ndo nchi pekee ambapo polisi wana aina moja ya uniform kwa askari wote.mf hapa bongo yaani FFU, askari wa kawaida, traffic, wote wawe na sare moja.
Rwanda kigali ndio mji mkuu pekee ambao sijaona mfuko wa plastic wala karatasi imezagaa barabarani.
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo wimbo wa pressure wa afsa kazinja na banana upo kwenye chati na unapigwa kwenye baadhi ya bar na pub hapa mjni Kigali.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambapo magodoro yake yamewekewa "plastic cover" sijui hata ni kwa sababu gani, mtanisaidia tafadhali wandugu.
Rwanda Kigali ndo mji pekee ambao nimekutana na mwanamke na nikamwambia wewe ni mrembo saana afu akajibu "urakoze" afu akaunga stori nyingine like its normal then that's it. Nahisi Washaambiwa saana we ni mrembo ndo maana hawashangai tena kuambiwa warembo. Daamn!
Rwanda ndo mji pekee ambao ukiagiza ugali na nyama utaletewa ugali na kongoro...ahahaha!
Kwa ujumla sijajutia likizo yangu Rwanda.
Kibondo pale nyuma ya jengo CCM Mkoa au kule chini stendi?Daaaaah Primus nimeikata sana hiyo maeneo ya Kibondo ...na Kakonko