Hii pekee ipo Rwanda

Aiseee! Kweli Rwanda patamu.
 
Mpwa naona umeamua kuondoa makandokando ya taarifa maana kuna watu ni wafukunyuku sana.
ulienda Car Wash?
 
Mpwa naona umeamua kuondoa makandokando ya taarifa maana kuna watu ni wafukunyuku sana.
Ahahaha! Mpwa nimeziba mianya yote ya maswali. Huyu mfukunyuku aliachia manyoya toka Siku ile mpaka Leo hii. Naona analikes tu comments za watu..kiiimya!

Si unajua mimi mwenyewe komando yosso.
 
Rwanda ndo mji pekee east Africa ambapo diamond yuko celebrated than local artist wa pale. Wale wasiojua kiingereza pale Rwanda wanaamini diamond platinum ni neno la kiswahili. Nimeenda club kadhaa na kila club ilipiga nyimbo za diamond zaidi ya nne tofauti na wasanii wengine. Ilifika time nikang'oa mpaka demu mkali wa kitutsi kwenye club moja VIP kwa kiki la kwamba diamond ni jirani yangu pale Dar ilhali ukweli nakaa Mwanza, nyegezi.


πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
nimepapenda sana hapo
 
Kwenye fursa akili huwa zinachaji quickly saana...!

Kwa jinsi alivyokuwa mrembo roho ingeniuma sana kama ningemkosa...nilikuwa najiwazia tu kwamba "kwa jinsi alivyomkali nikimpata nitamchakaza" kama zali kwa hisani ya diamond platnumz nikapiga show ya maji maji usiku huo...awww!
 
Kwenye fursa akili huwa zinachaji quickly saana...!

Kwa jinsi alivyokuwa mrembo roho ingeniuma sana kama ningemkosa...nilikuwa najiwazia tu kwamba "kwa jinsi alivyomkali nikimpata nitamchakaza" kama zali kwa hisani ya diamond platnumz akaingia kingi nikapiga show ya maji maji usiku huo huo...awww!
 
Mkuu huko rwanda kwa wazama chumvini inakuwaje ss!maana hayo maji si anaweza jikuta anakata kiu!
 
Kohoni=kooni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…